kabanga
JF-Expert Member
- Dec 12, 2011
- 37,205
- 18,474
Unakojoa ukichuchumaa au?😂
Mkojo usiingie kwenye miguu na nguo...Unakojoa ukichuchumaa au?
Mchungaji Mgogo.Kwamba “you’re not as special as you think you are”
Kuna mchungaji huunguruma wewe ni wa kawaida Sana, wewe ni mwenzetuuuu ..
Kitu cha kawaida sanaMtoto ana shanga kiunoni
😂😂😂 haya mwenye tofauti ako..
Heshima kwako mkuu
Kwema sana ndugu angu
Hujawahi kufail bibi wa mahabaNa Mara zote namba 1 huolewa au kuhalalishwa kuwa njia kuu/mke aka waifu matirio.
Ila wanawake aina ya lami usiwachukulie poa, ukiwazingua anasepa hakutafuti anaendelea na yake.
Dunia hii wewe si wa pekee huo ndo ukweli mchungu usio na lepe la unafiki....
Mahaba ndo yameandika hapa mimi nilikuwa naangalia muvi ya Mahaba .
Kuna aina mchepuko ukikutana nayo aisee stress zake unaweza kutamani hata ushtaki kwa wife. Eee mchepuko popote unajua balaa uliloleta ukosweswe na radi
khaaaahNi noma mzee, kuna mchepuko mmoja uliwahi kunipa stress balaa..nikatamani kuomba ushaur kwa wife.
huyo ni mwanaume sema ndio hivyo eti mwanaharakati wa ushogaNaomba uwe mchepuko wangu cocastic.