Aina mpya ya wizi jijini Daslam.

Aina mpya ya wizi jijini Daslam.

Bilionea Asigwa

JF-Expert Member
Joined
Sep 21, 2011
Posts
16,578
Reaction score
28,701
Siku hizi hawabomoi na yale mawe makubwa.
Wanakwenda kidigitali zaidi, Wanakupulizia dawa ya usingizi halafu wanatoboa, wanazama ndani kimya kimya, halafu wanaondoka kimya kimmya.

1540233733632.png


1540233816251.png


1540233900513.png


1540233970547.png
 
Hiyo zamani sana siku hizi wanapiga jeki grill hadi linaachia na sim tank wananaweka godoro chini wanafumgulia maji yakitoka pale ni kimya kimya nabtank linaondoka.
Juzi kuna rafiki yangu wezi walienda wakafungua maji kwenye cock yakatoka kwa kumwagika jamaa akaamka speed kufunga ili miter isisome bill kunwa kumbe wale wezi ilikuwa ndio targer yao alipofungua mlango wakamkamata wakamkata kibao cha machoni kumtoa wenge jamaa chaki chini wakamfunga kamba wakazama ndani wakachukua chao kama masihara vile
 
Maji yana uhusiano gani na dawa ya kupulizia hizi ni Imani tuuu sema tu walikuja mida ambayo haujalala basi.

Kwa maana dawa ipo mfumo wa hewa inasambaaa na maji ndo useme yanafyoza dawa? Ilio puliziwa nn mmmh
 
Back
Top Bottom