Aina mpya ya utapeli

Sure, nmejiuliza swali kama hilo, wao walitumia kiasi gn mpaka jamaa kuchanganyikiwa kuwaamini hao jamaa?
Ila tuwe makini tu maana utapeli unaongezeka kila siku na mbinu tofauti tofauti.
Inategemea anauza vitu vya thamani kiasi gani. Ila pia kwa pesa hiyo aliyohonga ni kwamba anafanya biashara kubwa ambayo inaleta wasiwasi kwa gharama walizutumia matapeli.
 
Sure, nmejiuliza swali kama hilo, wao walitumia kiasi gn mpaka jamaa kuchanganyikiwa kuwaamini hao jamaa?
Ila tuwe makini tu maana utapeli unaongezeka kila siku na mbinu tofauti tofauti.
M3 Hadi nne ndani ya wiki moja na Usha zoea kuuza laki mbili laki tatu siku unaona paaa ........mauzo m ....hauta data....?
 
mm nauza Duka stage ya kuniambia twende tukaonge pembeni apo apo ningemkataa..
Umeona eh! Hapo ndo alipoanzia kupigwa. Unatokaje dukani kwako eti ukaongee na mtu wala hata humjui? Ajali huwa zinatokea sawa Ila kuna kitu pia kinaitwa contributory negligence kwenye Sheria. Muhimu hapa wanandugu tisijihusishe na watu wageni kwa haraka. Wengi wameshaumia.
 
Huyo jamaa yako tamaa ndio imemponza alitakiwa awe na msimamo kwamba hatumii dawa yoyote hivyo asingekubali kuchukua chochote na kwenda kukifanyia kazi sijui kujaribu lakini alivyokubali tu ikawa biashara imeisha.
 
Naiandika huku hii mada baada ya kuona huku Kuna watu wengi na elimu itawafikia wengi kuliko kwenye majukwaa mengine.

Ipo hivi Kuna jirani yangu anabiashara yake inayo muweka mjini na kumfanya avimbe hapa mjini.

Basi Kuna siku akiwa officin kwake akaja mtu na kumuomba waongee huyu bro hakua na hiyana wakatoka nje ya office , yule mtu akamuambia kitu chenyewe ni Cha Siri kidogo tunaweza toka hapa na kwenda sehemu yoyote uipendayo tuongee vizuri.....? Huyu bro kwakua alipewa chance ya kuchagua sehem aipendayo Basi hakua na hofu na huyo jamaa.

Basi wakaenda sehemu wakakaaa na kunza mazungumzo.....yule jamaa akanza na kumuomba msamaha kwa kumpotezea muda wake na kujitambulisha kuwa yeye ni mganga na anadawa ya kuongeza wateja kwenye duka lake ......huyu bro akastuka kidogo na kumuambia kuwa mbona Mimi situmii hayo Mambo ...? Jamaa akamjibu usijari ni mambo ya kawaida kabisa na Wala hayahitaji mambo mengi.... Akatoa kipande Cha mzizi chenye urefu Kama futi moja na nusi ila kimegawika kimapingili kama vile mua.

Akamuambia dawa yenyewe ni hii hapa Wala haiitaji mambo mengi .... Unachukua tu hiki kipande unaloweka kwenye maji ya kudekia tu Kisha unadeki duka lako na kukirudisha sehemu salama na Yale maji ulio Delia pia unamwaga nje mbele ya duka lako Basi hivyo tu wateja utajionea mwenyewe.......na kuambiwa ile mzizi wote unauzwa million nne ila kwa Leo anammegea kipande tu Cha kwenda kufanyia majaribio akipata majibu amtafute kwa namba hizi. Basi akampa kile kipande na kuagana na kila mtu kuendelea na mishe zake .

Bro kwa kua hakupigwa pesa zozote aliamini kuwa huyu mtu anaweza akawa mkweli .

Basi siku ya pili yake bro akafanya Kama alivyo agizwa huku akiwahi ofisini kwake mapema zaidi ya wafanyakazi na wake na kudeki Kama alivyo agizwa... Siku ya kwanza wafanyakazi walishangaa Sana na kuhusi watafukuzwa kazi....

Basi kumbe yule jamaa anagenge lake huku nyuma kumbe Kuna mtu spesho kwa ajili ya kuangalia Kama wamedekea ile dawa kwa kuangalia unyevu wa maji mlangoni.

Basi walivyo ona ameanza kudekia wale matapeli wakaanza kwenda kununua vitu kwa fujo dukani kwa bro kiufupi ni watu wenye mitaji mikubwa Hawa mbwa wakikuundia tume huchomoki. Siku ya kwanza bro alikusanya mauzo Mara tatu ya mauzo ya kawaida, siku ya pili akipata mauzu Mara tano , siku ya nne yakawa Mara tano na kidogo ..........Hadi siku ya Saba ambayo aliambiwa muda wa majaribio hapa yalikua mauzo Mara 11 .....bro akadata na kuona kile kitu ni ukweli kumbe Basi akaenda kukopa bank ili achukue mzigo mkubwa zaidi akafanikiwa kwenda kuchukua mzigo huo na kuuweka standby dukani na kuwatafuta wale matapeli akawapigia simu na wakakutana Kama kawaida ....ila Cha ajabu wakamuambia kuwa ile dawa ya milioni nne imeisha imebaki ya milioni nane na hairuhusiwi kumegwa vipande inatakiwa yote ikatumike sehemu moja Kama duka moja tu . Kama Hana hela asubiri Hadi watakapo enda kuchukua nyingine hizo za milioni nne.

Bro akapiga hesabu na kuona Hadi waende wakachukue nyingine muda utakua mrefu zaidi ...Basi akaenda akachukua milioni 8 na kueakabidhi na kupewa hilo limzizi kwa ajiri ya kwenda kupigia pesa

Akaenda akadekia Kama kawaida ila Cha ajabu wale wateja wanunua kwa vurugu hawakutokea wakabaki wateja wa kawaida tu siku ya kwanza .....siku ya pili.....wiki......mwezi .....miezi......holaaa....na mzigo hautoki dukani na benki Kama kawaida ila anaendelea kusubiri Chao

NB
Ndugu zanguni usione watu benk zinauza nyumba zao ukazani wote ni wazembe ,au walikopa pesa wakala au walihonga ....hii dunia iacheni tu ....Muda wowote unaweza ukawa masikini wa kutupwa au tajiri wa kufa mtu.

Tusichoke kumuomba Mwwnyezi Mungu kutuepusha na majaribu.

Wazee Wa Kitonga
 
Naiandika huku hii mada baada ya kuona huku Kuna watu wengi na elimu itawafikia wengi kuliko kwenye majukwaa mengine.

Ipo hivi Kuna jirani yangu anabiashara yake inayo muweka mjini na kumfanya avimbe hapa mjini.

Basi Kuna siku akiwa officin kwake akaja mtu na kumuomba waongee huyu bro hakua na hiyana wakatoka nje ya office , yule mtu akamuambia kitu chenyewe ni Cha Siri kidogo tunaweza toka hapa na kwenda sehemu yoyote uipendayo tuongee vizuri.....? Huyu bro kwakua alipewa chance ya kuchagua sehem aipendayo Basi hakua na hofu na huyo jamaa.

Basi wakaenda sehemu wakakaaa na kunza mazungumzo.....yule jamaa akanza na kumuomba msamaha kwa kumpotezea muda wake na kujitambulisha kuwa yeye ni mganga na anadawa ya kuongeza wateja kwenye duka lake ......huyu bro akastuka kidogo na kumuambia kuwa mbona Mimi situmii hayo Mambo ...? Jamaa akamjibu usijari ni mambo ya kawaida kabisa na Wala hayahitaji mambo mengi.... Akatoa kipande Cha mzizi chenye urefu Kama futi moja na nusi ila kimegawika kimapingili kama vile mua.

Akamuambia dawa yenyewe ni hii hapa Wala haiitaji mambo mengi .... Unachukua tu hiki kipande unaloweka kwenye maji ya kudekia tu Kisha unadeki duka lako na kukirudisha sehemu salama na Yale maji ulio Delia pia unamwaga nje mbele ya duka lako Basi hivyo tu wateja utajionea mwenyewe.......na kuambiwa ile mzizi wote unauzwa million nne ila kwa Leo anammegea kipande tu Cha kwenda kufanyia majaribio akipata majibu amtafute kwa namba hizi. Basi akampa kile kipande na kuagana na kila mtu kuendelea na mishe zake .

Bro kwa kua hakupigwa pesa zozote aliamini kuwa huyu mtu anaweza akawa mkweli .

Basi siku ya pili yake bro akafanya Kama alivyo agizwa huku akiwahi ofisini kwake mapema zaidi ya wafanyakazi na wake na kudeki Kama alivyo agizwa... Siku ya kwanza wafanyakazi walishangaa Sana na kuhusi watafukuzwa kazi....

Basi kumbe yule jamaa anagenge lake huku nyuma kumbe Kuna mtu spesho kwa ajili ya kuangalia Kama wamedekea ile dawa kwa kuangalia unyevu wa maji mlangoni.

Basi walivyo ona ameanza kudekia wale matapeli wakaanza kwenda kununua vitu kwa fujo dukani kwa bro kiufupi ni watu wenye mitaji mikubwa Hawa mbwa wakikuundia tume huchomoki. Siku ya kwanza bro alikusanya mauzo Mara tatu ya mauzo ya kawaida, siku ya pili akipata mauzu Mara tano , siku ya nne yakawa Mara tano na kidogo ..........Hadi siku ya Saba ambayo aliambiwa muda wa majaribio hapa yalikua mauzo Mara 11 .....bro akadata na kuona kile kitu ni ukweli kumbe Basi akaenda kukopa bank ili achukue mzigo mkubwa zaidi akafanikiwa kwenda kuchukua mzigo huo na kuuweka standby dukani na kuwatafuta wale matapeli akawapigia simu na wakakutana Kama kawaida ....ila Cha ajabu wakamuambia kuwa ile dawa ya milioni nne imeisha imebaki ya milioni nane na hairuhusiwi kumegwa vipande inatakiwa yote ikatumike sehemu moja Kama duka moja tu . Kama Hana hela asubiri Hadi watakapo enda kuchukua nyingine hizo za milioni nne.

Bro akapiga hesabu na kuona Hadi waende wakachukue nyingine muda utakua mrefu zaidi ...Basi akaenda akachukua milioni 8 na kueakabidhi na kupewa hilo limzizi kwa ajiri ya kwenda kupigia pesa

Akaenda akadekia Kama kawaida ila Cha ajabu wale wateja wanunua kwa vurugu hawakutokea wakabaki wateja wa kawaida tu siku ya kwanza .....siku ya pili.....wiki......mwezi .....miezi......holaaa....na mzigo hautoki dukani na benki Kama kawaida ila anaendelea kusubiri Chao

NB
Ndugu zanguni usione watu benk zinauza nyumba zao ukazani wote ni wazembe ,au walikopa pesa wakala au walihonga ....hii dunia iacheni tu ....Muda wowote unaweza ukawa masikini wa kutupwa au tajiri wa kufa mtu.

Tusichoke kumuomba Mwwnyezi Mungu kutuepusha na majaribu.
Wewe na bro wako wote hamnazo
 
Kuna video zipo YouTube za mchungaji mstaafu wa hiyari KKKT anaitwa Richard Hananja ana mafundisho mazuri sana juu ya maisha na utafutaji wa kipato.

Tamaa mbaya sana
 
Siwezi kukataa matapeli wakikuundia tume kama una tamaa hutoki
mimi walinikabidhi SUZUKI vitara funguo siku 4 natembea nayo gari imepaki dukani mbele hapo
hao jamaa hawafai
 
Mpaka umeidaka hiyo mbinu ukaileta hapa, ujue hiyo tayari imeisha- expire(imeisha muda wake wa matumizi). Kaeni chonjo, kukabiliana na mbinu nyingine ya kitapeli, kali(babu kubwa) zaidi ya hiyo!
 
Back
Top Bottom