kijani11
JF-Expert Member
- Jan 19, 2014
- 7,625
- 7,389
Inategemea anauza vitu vya thamani kiasi gani. Ila pia kwa pesa hiyo aliyohonga ni kwamba anafanya biashara kubwa ambayo inaleta wasiwasi kwa gharama walizutumia matapeli.Sure, nmejiuliza swali kama hilo, wao walitumia kiasi gn mpaka jamaa kuchanganyikiwa kuwaamini hao jamaa?
Ila tuwe makini tu maana utapeli unaongezeka kila siku na mbinu tofauti tofauti.