Mungu alimuumba binadamu kama kiumbe Bora kabisa akakipa ufahamu na uelewa ili kiweze kutambua wema na ubaya, mbaya zaidi tumeitupa tunu tuliyojaaliwa Allah au Mungu wetu, tumeshindwa kutofautisha Mungu wetu ni yupi na shetani ni yupi.
MUNGU ATUFUNGILIE HEKIMA NA UELEWA TUNAOUKWEPA KWA KUTAABISHWA NA UJANJA/HILA CHAFU ZA SHETANI, AMEN.