Duu,nimeingia choo chaKama ni kwaajili ya gari chukua KENWOOD ila Kwa matumizi ya kawaida tafuta mingo zipo vizuri pia bei ni ya wastani
View attachment 98533
View attachment 98534
View attachment 98535
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Unajiandaa kwenda chuo first year eeh...
Hiyo Sony ina mia ngapi mkuu?View attachment 439878
Chukua hyo sonny
150k apo ni za kichina za kwetu uswazi uku..sea piano, blackstone au aborder ziko poa..lkn sea piano inapiga zaidi
Ndo vifaa vya kichina inabidi ukubal yote..mpelekee fundSea piano yangu imejiandika H1 F1 siku inaongea siku haukubali. Mkuu nipe utaalamu wako niifanyeje au niipeleke kwa Fundi.
Chukua hii mtoa post at least utapa sound iliyonyooka walauKama ni matumizi ya nyumbani chukua AILiANG AL9600(USBFM9600A) 5.1 CH au chukua aina hiyo hiyo class B au C ndugu utafurahia mdundo wake bei ya zamani 450,000 kama ni Class C speaker 4 fupi inch kama 40 hivi kama sijakosea na kama ni Class B bei ni juu kidogo lakini haipishani sana na Class A kwakua Class A ndio inauzwa bei juu kama kilo 7 na kuendelea kwa bei ya mwaka 2013 sasa kwa bei ya 2016 ndio sijui labda uingie kwenye mtandao ucheki na itakubidi uagize nje ya nchi kama utazikosa kariakoo Dar au Mkoani mbeya endapo utaona inafaa
Bose kula maisha mzeeNatumia Bose, km unatumia kopo la Korie pole!
Wewe ndo unyamaze sio kuuliza ujinga.Kama huna jibu nyamaza watajibu wengine!