Aina hii ya wanawake ni kero katika mahusiano

Aina hii ya wanawake ni kero katika mahusiano

Ila mkuu kwa upande wangu sioni kama ni shida. Kutokana na maelezo yako ni anakujulia hali mara moja kwa siku.Na muda anaofanya hivyo ni muda usio wa kazi ambapo umekuwa umetulia. Mwanamke wa hivi na kama hakusumbui sana kwenye hela, wapo wachache sana karne hii. Ukimuacha ndo utaona.
Simu zake si za kunijulia hali tu mkuu bali ni kunichunguza kwa muda huo ajue niko wapi na nafanya nini,
Mfano jana kanitumia sms whatsapp nikakausha japo nilikuwa online,akatuma sms ya kawaida bado niko kimya then akapiga video call ndipo nilipopokea na nikamjulisha kuwa nililala na baada ya kupokea taa ilizimwa so hakuniona bali ni giza na hapo alijiaminisha na akawa na amani,
Na leo tena siachwi salama.
 
Habari, karibuni katika mada.

Kuna mdada niko naye katika mahusiano ya kimapenzi ila kwa sasa tuko sehemu tofauti katika harakati za kutafuta ridhiki. Kinachonikwaza ni kwamba ana tabia ambayo ni ngumu kuvumilika kwa kweli, kila siku ziendazo kwa Mungu ikifika usiku tu mfano ile saa 2 usiku imetimia, lazima akutext, call, whatsapp call video ili mradi vurugu na hakuachi mpaka ajiridhishe uko mwenyewe ndiyo atalala kwa amani.

Tofauti na hapo siku ukisema leo namute hizo sms, calls zitafika hata 400 na lawama juu.

Mwisho, kama unampenda sana dear wako kiasi cha kukaa mbali naye huwezi, mfate na siyo kusumbuana huu sasa ni utoto.
Kifupi huyo binti ana low maturity, epuka kujihusisha kwenye mahusiano (romantic relationship) na mabinti au wanawake ambao hawana ukomavu wa akili utajuta na kujutia sana coz ya low coordination zao. Tafuta Wanawake/Mabinti waliokomaa kiakikili japo ni wachache sana na ni bahati sana kukutana nao.. nilikutana naye mmoja in my life time sitamsahau nilienjoy mno Mungu ampe heri huko aliko..
 
Hadi nimecheka peke yangu. Lol.

Ngoja niendelee kusoma comments kwa kweli.
 
KWAIYO UNATURINGISHIA KWAMBA DEMU WAKO ANAKUPENDA SANA ACHA UFALA SHUKURU ANAKUTAFUTA IVYO SIKU ATAMPATA MCHIZI ANAANZA KUMWAMBIA MPENZI WANGI HANIPI ATTENTION WAL nn ,NILIPATAGA DEMU WA IVYO ANALALAMIKA NAMUULIZA MPENZI ?NDIO NINAYE ILA ANIPI ATTENTION NIKAMCHUKUA MIMI NIKAMLA ILA TULISHAACHANA KWAIYO KUWA MAKINI KIJANA UTAKUJA KUJUTA
 
Habari, karibuni katika mada.

Kuna mdada niko naye katika mahusiano ya kimapenzi ila kwa sasa tuko sehemu tofauti katika harakati za kutafuta ridhiki. Kinachonikwaza ni kwamba ana tabia ambayo ni ngumu kuvumilika kwa kweli, kila siku ziendazo kwa Mungu ikifika usiku tu mfano ile saa 2 usiku imetimia, lazima akutext, call, whatsapp call video ili mradi vurugu na hakuachi mpaka ajiridhishe uko mwenyewe ndiyo atalala kwa amani.

Tofauti na hapo siku ukisema leo namute hizo sms, calls zitafika hata 400 na lawama juu.

Mwisho, kama unampenda sana dear wako kiasi cha kukaa mbali naye huwezi, mfate na siyo kusumbuana huu sasa ni utoto.
Mbn km unatufokea mkuu
 
ni bora ukamweleza kuwa awe mvumilivu na wewe huendi popote,na pia hata kama uko bize sana jitahidi kutenga mda kidogo kwa ajili yake
Najua watu tunatofautiana kwenye vipaumbele binafsi ni mvivu wa kutumia simu ila nimekutana na mwenzangu anapenda mawasiliano ko naenda naye hivohivo
 
ni bora ukamweleza kuwa awe mvumilivu na wewe huendi popote,na pia hata kama uko bize sana jitahidi kutenga mda kidogo kwa ajili yake
Najua watu tunatofautiana kwenye vipaumbele binafsi ni mvivu wa kutumia simu ila nimekutana na mwenzangu anapenda mawasiliano ko naenda naye hivohivo
Afadhali wewe umeelewa
 
Shida nimeona inawezekana una wanawake wengi unashindwa kujigawa kuwasiliana nao huyo mmoja unamuona msumbufu.
 
Hatari sanaa…mi kuna mmoja wa aina hyo,nataka nimwambie tu kuwa ktk maisha yngu ya ndoa ntaoa wake 3….so ajiandae na apunguze fujo
 
Bora huyo wako man.
Yaani huyu dem wangu haongei.
Hapigi sim,hata umpigishe stor yeye anaitikia tuu sawa..
Ukimuita sehem yoyote muda wowote anakuja hakatai.
Hafanyi kitu hadi umwambie fanya hivi.
Yaani ananitisha kwakwweli.

Halafu ni dada mzuri huwez kuamini na jinsi anavyokuwa mpole.
Nilipata pisii kama hii nilishindwaaa aiseee.. Mtu mkimyaaa mpaka kwenye sex
 
Shida nimeona inawezekana una wanawake wengi unashindwa kujigawa kuwasiliana nao huyo mmoja unamuona msumbufu.
Sio kweli mkuu ila imani na mimi hana nadhani
 
Back
Top Bottom