Aina hii ya wanawake ni kero katika mahusiano

Aina hii ya wanawake ni kero katika mahusiano

😂😂😂 Yaan nikupe namba zako alafu namba zako si unazo mwenyewe
Namba zangu za simu ziko Huku mtandaoni. Sheikh mie Nina mke na watoto. Ila Sina wa kunitext mda wote natamani unipe number hizo nikusaidie kuzungumza nae Ili asikuchoshe😬

Nimegundua unahitaji mwanamke bubu na kipofu, inawezekana ungefurahi akiwa kiziwi pia. Kwa sababu kwako mbususu tu ndo unachokitafuta kwa mwanamke😬

Uwe unapenda kuzungumza na mwanamke wako Ili ujue state ya akili yake asije kuwa physcopath, ujue ndoto zake, umfahamu kiundani, ujue routine zake, basi hata kufurahi nae tu umfurahishe😊
 
Namba zangu za simu ziko Huku mtandaoni. Sheikh mie Nina mke na watoto. Ila Sina wa kunitext mda wote natamani unipe number hizo nikusaidie kuzungumza nae Ili asikuchoshe😬

Nimegundua unahitaji mwanamke bubu na kipofu, inawezekana ungefurahi akiwa kiziwi pia. Kwa sababu kwako mbususu tu ndo unachokitafuta kwa mwanamke😬

Uwe unapenda kuzungumza na mwanamke wako Ili ujue state ya akili yake asije kuwa physcopath, ujue ndoto zake, umfahamu kiundani, ujue routine zake, basi hata kufurahi nae tu umfurahishe😊
Sawa mkuu, nmekuelewa
 
Habari, karibuni katika mada.

Kuna mdada niko naye katika mahusiano ya kimapenzi ila kwa sasa tuko sehemu tofauti katika harakati za kutafuta ridhiki. Kinachonikwaza ni kwamba ana tabia ambayo ni ngumu kuvumilika kwa kweli, kila siku ziendazo kwa Mungu ikifika usiku tu mfano ile saa 2 usiku imetimia, lazima akutext, call, whatsapp call video ili mradi vurugu na hakuachi mpaka ajiridhishe uko mwenyewe ndiyo atalala kwa amani.

Tofauti na hapo siku ukisema leo namute hizo sms, calls zitafika hata 400 na lawama juu.

Mwisho, kama unampenda sana dear wako kiasi cha kukaa mbali naye huwezi, mfate na siyo kusumbuana huu sasa ni utoto.

Usijali kuna wenzio wanaopenda huo usumbufu ni suala la muda tu … atampata wa kuendana nae

Halafu uje ufungue uzi wa wanawake wote makatili
 
1 . Ukimuoa hato kutext Yan utamiss text zake
2. Kama kweli unampenda basi akifa Leo hii utakuwa unasoma text zake kama kubwa jinga Huku unalia
3. Mfano akikuacha mda huu na unampenda utamiss text zake unataman hata akosee kutext
4. Akiwa na mazungumzo matamu utakuwa unasoma text na kufurah Huku ukibusu hizo text kwenye simu yako
5. Mfano Tena ukimwacha ukapata mwanamke ambaye hatumi message Wala kutext utakuja kutuletea Uzi Tena kwa sababu huyu mwanamke wako wa sasa kashakufanya mlemavu wa text na calls
6. Ikifika saa mbili usiku unaweza jikuta hata kama ulilala unashtuka teyari kashakuweza. Kakuaribia usingiz na ndoto zako

Mwisho wa siku hivi vitu vinavyokuumiza akili jifunze kupoteza kwani hujui ukipenda boga penda na majani yake[emoji4] Mpigie mpenzi wako mwambie unampenda sana na kesho ukimwona utampiga busu ushachoka kubusu sms zake. .
Ushaur murua Sana huu[emoji4][emoji106]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Bora huyo wako man.
Yaani huyu dem wangu haongei.
Hapigi sim,hata umpigishe stor yeye anaitikia tuu sawa..
Ukimuita sehem yoyote muda wowote anakuja hakatai.
Hafanyi kitu hadi umwambie fanya hivi.
Yaani ananitisha kwakwweli.

Halafu ni dada mzuri huwez kuamini na jinsi anavyokuwa mpole.
Ninae wa hivihivi asee usije kuta tunakula dem mmoja
 
Bora huyo wako man.
Yaani huyu dem wangu haongei.
Hapigi sim,hata umpigishe stor yeye anaitikia tuu sawa..
Ukimuita sehem yoyote muda wowote anakuja hakatai.
Hafanyi kitu hadi umwambie fanya hivi.
Yaani ananitisha kwakwweli.

Halafu ni dada mzuri huwez kuamini na jinsi anavyokuwa mpole.
[emoji23][emoji23]kila mtu na msalaba wake
 
Bora huyo wako man.
Yaani huyu dem wangu haongei.
Hapigi sim,hata umpigishe stor yeye anaitikia tuu sawa..
Ukimuita sehem yoyote muda wowote anakuja hakatai.
Hafanyi kitu hadi umwambie fanya hivi.
Yaani ananitisha kwakwweli.

Halafu ni dada mzuri huwez kuamini na jinsi anavyokuwa mpole.
😅😅😅😅😅 umenichekesha sana we mjamaa. Sipati picha
 
Mahusiano ya mbali ni changamoto sana!
Kiukweli Kumchunga mtu mzima nayo ni assignment !!
 
Mie nikipata mtu wa hivi nitafutahi sana kwa sababu mda wake wa thamani anapenda kuwa na Mimi. Na kingine anaacha mambo yake ya maana Ili azumgumze na Mimi.

Aisee mpe number zangu basi huyo dada. .
Nafikiri hujawahi kukutana na wa namna hiyo binafsi nilishindwa. Nilijiona nabanwa sana mpaka nashindwa kuwa huru hata muda mwengine ku enjoy na marafiki.

Unajua uzuri wa mambo ni kati kwa kati. Nilishindwa kuendelea naye.
 
Bora huyo wako man.
Yaani huyu dem wangu haongei.
Hapigi sim,hata umpigishe stor yeye anaitikia tuu sawa..
Ukimuita sehem yoyote muda wowote anakuja hakatai.
Hafanyi kitu hadi umwambie fanya hivi.
Yaani ananitisha kwakwweli.

Halafu ni dada mzuri huwez kuamini na jinsi anavyokuwa mpole.
 
Hyo
Nafikiri hujawahi kukutana na wa namna hiyo binafsi nilishindwa. Nilijiona nabanwa sana mpaka nashindwa kuwa huru hata muda mwengine ku enjoy na marafiki.

Unajua uzuri wa mambo ni kati kwa kati. Nilishindwa kuendelea naye.
Unapenda kuwa na marafiki mda wote😊
Sie ambao tumeoa unajisikia tu kuwahi nyumbani uwe na familia. Kupendwa Raha sana na acha kukaa vijiweni na masela kuzungumzia mademu mliowachakata na zungumza na mwandani wako zaidi. .
 
Habari, karibuni katika mada.

Kuna mdada niko naye katika mahusiano ya kimapenzi ila kwa sasa tuko sehemu tofauti katika harakati za kutafuta ridhiki. Kinachonikwaza ni kwamba ana tabia ambayo ni ngumu kuvumilika kwa kweli, kila siku ziendazo kwa Mungu ikifika usiku tu mfano ile saa 2 usiku imetimia, lazima akutext, call, whatsapp call video ili mradi vurugu na hakuachi mpaka ajiridhishe uko mwenyewe ndiyo atalala kwa amani.

Tofauti na hapo siku ukisema leo namute hizo sms, calls zitafika hata 400 na lawama juu.

Mwisho, kama unampenda sana dear wako kiasi cha kukaa mbali naye huwezi, mfate na siyo kusumbuana huu sasa ni utoto.
Wanaume wengi hawapendi hizo mambo,Mimi mwenyewe sitaki usumbufu ....nikikupigia usipopokea au nikikutext usipojibu sihangaiki nawe...nafanya mambo mengine...siku utakayotaka utanitafuta
 
Back
Top Bottom