mayoscissors
JF-Expert Member
- Nov 24, 2009
- 975
- 471
Nashukuru sikuzaliwa enzi hizo maana haya nisingevaa
Hapa bila shaka ni Hamugembe na huyu jamaa ni Nshomile aliyekuwa masomoni Uingereza teh teh
Huyo jamaa kama hayuko mbele ya haki basi atakuwa anatembelea mkongoja.
Hiyo suruali ilikuwa inaitwa pekos,na mara nyingi ilikuwa inavaliwa na viatu virefu vilivyokuwa vinaitwa raizoni