manuu
JF-Expert Member
- Apr 23, 2009
- 4,064
- 10,723
Jamaa anasema alikuwa anampenda huyo msichana ile mbaya wote wanasoma chuo kimoja.
Jamaa akavimba na huyo binti mpaka akaingia kingi basi wakakubaliana wakutane hotel wakapiga maanjumati baada ya muda wakazama rum.Jamaa anasema ile wamezama wakaanza kutomasana tomasana, wakavuana nguo wakabaki kama walivyozaliwa.Hapo ndiyo shida ilipoanza jamaa anasema alivyomuona yule msichana akiwa hana nguo (maana anadai huyo binti ni mweupe aliyejaliwa umbo namba nane).
Mapigo ya moyo ya jamaa yakabadilika kabisa wakaendelea kutomasana kwa sana binti anamlamba jamaa kila mahali na jamaa vile vile.Jamaa kuchek mtarimbo upo doro yaani kama hauusiki na chochote katika zoezi hilo.
Ikafika mahali binti akawa anahitaji haki yake jamaa anajaribu kushtua kitu wapi matarimbo umegoma kabisa.Yule binti akashtukia akaukamata mtarimbo mwenyewe chezea sana wapi kitu doro.
Yule binti sababu alikuwa high sana anataka kulazimisha uzame hata ukiwa doro lakini wap.
Basi yule binti akamsukuma jamaa akamwambia sasa umenileta huku kufanyaje, Kama unajijua unamatatizo ulikuwa unajibaragusa kwangu ya nini.
Akatoka akaenda bafuni akavaa nguo zake akaishia akimpiga mkwara jamaa kwamba nitakutangaza chuo kizima mjinga wewe.
Jamaa akabaki hapo kitandani akitafakari kwani haijawai kumtokea kabisa tatizo kama hilo.
Jamaa akaenda bafuni kuoga ghafla kitu hicho yaani full erected.
Sasa jamaa anawaza atafanyaje kumhakikishia yule binti kwamba yupi fiti sababu anahisi yule msichana keshaanza kumtangaza vibaya hapo chuoni.
Jamaa akavimba na huyo binti mpaka akaingia kingi basi wakakubaliana wakutane hotel wakapiga maanjumati baada ya muda wakazama rum.Jamaa anasema ile wamezama wakaanza kutomasana tomasana, wakavuana nguo wakabaki kama walivyozaliwa.Hapo ndiyo shida ilipoanza jamaa anasema alivyomuona yule msichana akiwa hana nguo (maana anadai huyo binti ni mweupe aliyejaliwa umbo namba nane).
Mapigo ya moyo ya jamaa yakabadilika kabisa wakaendelea kutomasana kwa sana binti anamlamba jamaa kila mahali na jamaa vile vile.Jamaa kuchek mtarimbo upo doro yaani kama hauusiki na chochote katika zoezi hilo.
Ikafika mahali binti akawa anahitaji haki yake jamaa anajaribu kushtua kitu wapi matarimbo umegoma kabisa.Yule binti akashtukia akaukamata mtarimbo mwenyewe chezea sana wapi kitu doro.
Yule binti sababu alikuwa high sana anataka kulazimisha uzame hata ukiwa doro lakini wap.
Basi yule binti akamsukuma jamaa akamwambia sasa umenileta huku kufanyaje, Kama unajijua unamatatizo ulikuwa unajibaragusa kwangu ya nini.
Akatoka akaenda bafuni akavaa nguo zake akaishia akimpiga mkwara jamaa kwamba nitakutangaza chuo kizima mjinga wewe.
Jamaa akabaki hapo kitandani akitafakari kwani haijawai kumtokea kabisa tatizo kama hilo.
Jamaa akaenda bafuni kuoga ghafla kitu hicho yaani full erected.
Sasa jamaa anawaza atafanyaje kumhakikishia yule binti kwamba yupi fiti sababu anahisi yule msichana keshaanza kumtangaza vibaya hapo chuoni.