Aibu ujenzi wa Sakina - Tengeru highway

Aibu ujenzi wa Sakina - Tengeru highway

Mleta mada anapotosha watu.

binafsi sijawahi ona kampuni yenye vifaa vya kisasa kama hii inayojenga hii barabara.

pia wana manpower ya kutosha kabisa na speed yao ya ujenzi ni kubwa sana.

huyu mleta mada atakua ameshazoea zile bara bara za kulipuliwa lipuliwa.

me nampongeza sana huyu mkandarasi ukiangalia unajua kabisa kuwa anajua anachokifanya.
 
Tatzo kubwa ni ile mitaro ambayo imelekezwa kule baraa sec schoool sioni kama kuna plan ya maji kuelekea mto nduruma, itakua ni shida kwa wakazi wa baraa espcially maji yatakapo kua yana pita kwao
 
Mkuu Mimi binafsi naweza kusema kuwa siamini hawa jamaa kama wamepewa pesa za kitosha, wakati wa kampeni walisuasua sana hadi janiari ndo kama kaz ilianza, vifaa wanavyo vingi wamepak kambini, nahis hawana pesa japo kwa madaraja wanajenga kwa kasi kias...ninasikitika pia kwa wizi mkubwa unaofanywa na watz inatisha Nondo zinauzwa mtaan kama karanga
Acha ziuzwe mkuu maana hujui wanalipwa sh NGp wafanyakaz wa tzd na mikataba hawana yaan ukifanya kaz kwa mchina usimwonee huruma piga kidumu nondo cement ili ujilipe hawa wachina wana dharau mikataba hawatoi mshahara mdogo sefty hawatoi ni kuwaibia tuu maana Hamna namna sasa
 
Mleta mada anapotosha watu.

binafsi sijawahi ona kampuni yenye vifaa vya kisasa kama hii inayojenga hii barabara.

pia wana manpower ya kutosha kabisa na speed yao ya ujenzi ni kubwa sana.

huyu mleta mada atakua ameshazoea zile bara bara za kulipuliwa lipuliwa.

me nampongeza sana huyu mkandarasi ukiangalia unajua kabisa kuwa anajua anachokifanya.
Hujui ukiongeacho mkuu hizi kaz tuachie ss wakandaras huyo mkorea kampa subcontractor mchina walikua wanajenga daraja la maragaras kigoma kule uyo ni mbabaishaji balaa hamna mkandaras apo pia n mnyanyasaj wa wawafakaz balaa
 
Hujui ukiongeacho mkuu hizi kaz tuachie ss wakandaras huyo mkorea kampa subcontractor mchina walikua wanajenga daraja la maragaras kigoma kule uyo ni mbabaishaji balaa hamna mkandaras apo pia n mnyanyasaj wa wawafakaz balaa
Bado ni mapema sana kuhukumu. ila kama ni kazi wanafanya.

mbona hao wafanayakazi unaosema wananyanyaswa wapo kimya?

Let's wait and see.
 
Kila siku napita Tengeru to twn mbona ujenzi unaendelea vizuri tu. ile njia ina changamoto ya madaraja na yanaendelea kujengwa. huwezi kuweka lami kabla ya kujenga madaraja. mnajitahidi kweli kutafuta makosa ya JPM mpate kiki za kutokea
 
Mradi huu ulizinduliwa na aliyekuwa Rais wa awamu ya nne, mh Dr. J. M. Kikwete na aliyekuwa waziri wa ujenzi na mgombea urais, mh Dr. J. P. Magufuli. Mradi ni sehema ya ujenzi wa Namanga - Taveta - Voi highway. Kinachonisikitisha ni kuwa mpaka sasa hakuna hata sentimita moja ya lami iliyokamilika. Barabara hii ni urefu wa 14km na unatakiwa kukamilika ndani ya miezi 18. Ujenzi ulizinduliwa mara tuu ya mh Dr. J. P. Magufuli kupitishwa kuwa mgombea. Binafsi kwa jinsi ninavyoona vifaa duni, nguvu kazi hafifu na kutokuwepo na maendeleo yeyote ya mradi nashawishika kuamini kuwa uzinduzi uliharakishwa ama kwa sababu za kisiasa au nyinginezo. Wakazi wa Arusha ni mashahidi wa hili.
Acha chuki za kisiasa kwenye mambo ya maendeleo, mradi uko kwenye progress nzuri na jamaa wanafanya kazi hadi jumapili, sa ivi wako kwenye earthwork, structural pia wameanza retaining wall, kuanza kwa rami ni adi diversion iwe tayari na iko kwenye hatua nzuri sema kuna changamoto ya terrain kwa maeneo inapopita diversion. Tuache unafiki na chuki zisizo na msingi.
 
Acha chuki za kisiasa kwenye mambo ya maendeleo, mradi uko kwenye progress nzuri na jamaa wanafanya kazi hadi jumapili, sa ivi wako kwenye earthwork, structural pia wameanza retaining wall, kuanza kwa rami ni adi diversion iwe tayari na iko kwenye hatua nzuri sema kuna changamoto ya terrain kwa maeneo inapopita diversion. Tuache unafiki na chuki zisizo na msingi.
Ina kiwango? Au ni ile lipua lipua za kichina?
 
Pamoja na changamoto za mvua zisizokatika mkandarasi anajitahidi ila aongeze bidii...
 
Jombaa hawa jamaa wako kwenye daraja la nduruma wanakomaa na kazi ,tena bora mnyamaze mchina asije akasikia akaaamua kumaliza ujenzi ndani ya week mbili maana wao hakuna kinachowashinda
Au unataka watoe kitu kama huu muembe ??
Hahahahahaha duh...huu mti ni mbegu ya wapi mkuu,ya dodoma kwa wagogo nini maana inaonekana ni vivu sana.
 
Acha ziuzwe mkuu maana hujui wanalipwa sh NGp wafanyakaz wa tzd na mikataba hawana yaan ukifanya kaz kwa mchina usimwonee huruma piga kidumu nondo cement ili ujilipe hawa wachina wana dharau mikataba hawatoi mshahara mdogo sefty hawatoi ni kuwaibia tuu maana Hamna namna sasa
Wala sio tatizo LA wachina Bali serikali legevu haijali maslahi ya watu wake
 
Naishi Arusha,mtoa mada mwongo.kazi inaendelea vema.pili kuna bomba kuu la maji kutoka chanzo cha Oldadai.lipo kwenye eneo la mradi ,lazima liondolewe .kuna kampuni inaitwa RJR ya Ujerumani .imekuja kuliondoa bomba hilo kutoka Ngulelo hadi kwa IDD ndio kazi ya ujenzi was Barabara iendee.Usipayuke tu.
 
Naishi Arusha,mtoa mada mwongo.kazi inaendelea vema.pili kuna bomba kuu la maji kutoka chanzo cha Oldadai.lipo kwenye eneo la mradi ,lazima liondolewe .kuna kampuni inaitwa RJR ya Ujerumani .imekuja kuliondoa bomba hilo kutoka Ngulelo hadi kwa IDD ndio kazi ya ujenzi was Barabara iendee.Usipayuke tu.
Nadhani hujui kusoma. Hakuna aliyesema kazi haifanyiki, bali kasi ya ufanyajikazi hairidhishi. Naweza kuwa muongo Sawa but hata wizara iliyotoa tamko la kutoridhishwa na kasi ya kazi ni waongo??
 
Back
Top Bottom