mbona kwa wazungu nyie ccm mnaopenda kujifananisha nao hawafanyi hiviMaendeleo hayana chama lakin serikali iliyoko madarakani ni ya chama na inatekeleza Ilani yake. Mi sioni tatizo as long as uwepo wa Kinana haujazuia shughuli yoyote.
Sent using Jamii Forums mobile app
Sa si ndiyo hapo!!!!!Hivi unajiangaisha na hao watu bado?
Kutokana Na Uzi naweza kukadiria umri wako wa kuzaliwa kuwa ni chini ya 1992.Hii Serikali ya Magufuli inafanya vitu vingine hata havina mantiki.
Leo tena wamefanya kituko kingine cha aibu kwa kulazimisha Katibu Mkuu CCM Bwana Kinana naye aongee mbele ya hadhara kana kwamba hilo ni swala la chama cha CCM? Huu ndiyo upuuzi tunaousema unaofanywa na CCM kila kukicha.
Kila leo utamsikia Magufuli akisema MAENDELEO HAYANA CHAMA.....! Kama kweli maendeleo hayana chama kulikuwa na ulazima gani ya K/Mkuu CCM kuongea mbele ya hadhara kwa jambo ambalo ni la Kitaifa linalohusisha nchi mbili?
Mbona Rais wa Uganda Mzee Yoweri Kaguta Museveni hakuja na watu wa chama chake cha NRM(National Resistance Movement)? Ni kwa vile aliona hawana ulazima huo kwa vile siyo mahali pake.
Hii ni aibu na CCM badilikeni muache huu ujinga, siyo kila kitu ni Kampeni!!!
Ilani ni kuleta maendeleo kupitia ajira hilo Bomba litaleta maendeleo kupitia ajira.Ilani ya CCM ilikuwa na kuweka jiwe la msingi Wa Bomba la mafuta?
Sent using Jamii Forums mobile app
Huenda huna uhakika then shut up.Hata posho na gharama za ziara hiyo huenda wanalipwa kutoka hazina/ikulu. Ccm wamekamatika na hiyo ni dalili ya kwamba chama hicho kimepoteza mvuto ndio maana wanafanya siasa kwa mgongo wa serikali.
Vichaa bwana sasa hata kuandika kwenyewe hujui, kiswahili hujui bado nawewe unataka kuchangia mada za wenye akili timamu!? Hapana bwana mada zingine muwe mnawaachia wenye akili timamu wachangie nyie vichaa subirini mada zitakazo endana na hali zenu.
Jifunze kuelewa uraia,kama ilikuchenga basi jielimishe kwa kujisomea,kuna mipaka ya serikali kuhusu ahughuli za kichama,ndo maana sheria ya vyama vya siasa iko wazi,jielemiahe nsugu yangu acha kukaririSerikali inatekeleza ilani ya CCM na kinana Nadhani Ndio mtendaji mkuu wa CCM hivyo yuko Kiserikali zaidi
Nafikiri kuna umuhimu wa kukupima ch oo kikubwa na wala sio jo joo,ukichaa upo wapi kwenye quote yng??Vichaa bwana sasa hata kuandika kwenyewe hujui, kiswahili hujui bado nawewe unataka kuchangia mada za wenye akili timamu!? Hapana bwana mada zingine muwe mnawaachia wenye akili timamu wachangie nyie vichaa subirini mada zitakazo endana na hali zenu.
We're talking nation interest here you blood fool! Only fools will talk nonsense like you!Nyie opp acheni ujinga. Hivi kinawahusu nini kinana kuongea. Kama mmeumia sana kuleni malimao.
Sent using Jamii Forums mobile app
Upoo?Hata posho na gharama za ziara hiyo huenda wanalipwa kutoka hazina/ikulu. Ccm wamekamatika na hiyo ni dalili ya kwamba chama hicho kimepoteza mvuto ndio maana wanafanya siasa kwa mgongo wa serikali.