kiumbe kipya
JF-Expert Member
- Sep 30, 2016
- 2,831
- 1,302
Ama nchi kama umekereka.Kwa mtu yeyote mwenye akili kubwa ata elewa kuwa kitendo chakurudia rudia kuongea huo msemo wa maendeleo hayana chama ni dhahiri, mara oooohh! ningeamua hiki nisinge kifanya kwenye jimbo la upinzani , maneno hayo kuwa yanrudiwa rudiwa kila anapo zindua mradi unao pia kwenye jimbo la upinzani ni dhahiri utagundua kuwa kuna chuki kubwa sana tena zaid ya sana dhidi ya upinzan na kuna jambo baya ambalo anajua kuwa analifanya dhidi ya upinzani. Hii ni kwa wenye akili timamu pekee.
Sent using Jamii Forums mobile app