Aibu kwa serikali yetu

Aibu kwa serikali yetu

dengeru

Member
Joined
Oct 1, 2009
Posts
52
Reaction score
7
wakati kikwete akihutbia leo sabasaba alikuwa antumia lugha ya kiswahli halafu mkalimani akawa anaitafsiri kwa kibrazili kwa raisi wa brazil,akaja raisi wa brazil kuzungumza mkalimani akawa anaitafsiri kwa kiingerza kwa kikwete,hapo ndo niliposhangaa,kwani kikwete lugha yakeni kiingereza?
 
Back
Top Bottom