Aibu kwa jiji la Mwanza

Aibu kwa jiji la Mwanza

sawa ila kama ile ya makongoro imeisha kabisa n double road taa ni za muhimu
kwa hiyo ya nyegezi labda tuseme wanaifikiria kuipanua
Labda wana mipango yao si unajua dual carriageway inahitaji taa za tofauti na zile za single...Tuone watafanyaje ila tuendelee kuwapa presha hivyohivyo.
 
Labda wana mipango yao si unajua dual carriageway inahitaji taa za tofauti na zile za single...Tuone watafanyaje ila tuendelee kuwapa presha hivyohivyo.
Mwanza wasipokaa makini watakuja wapate tatizo la foleni haswaa hii Barbara ya Kutoka town kwenda mkuyuni-nyegezi-buhongwa mpk usagara watanue iwe Kama ya Airport!!

Typed Using KIDOLE
 
Mwanza wasipokaa makini watakuja wapate tatizo la foleni haswaa hii Barbara ya Kutoka town kwenda mkuyuni-nyegezi-buhongwa mpk usagara watanue iwe Kama ya Airport!!

Typed Using KIDOLE
Huo mpango niliusikiaga na nashangaa hadi sasa haujawa implemented.. Au wanasubir mpaka barabara izidiwe kama ilivyokuwa ya airport!! Wakina Mabula hawa duh!!
 
Labda wana mipango yao si unajua dual carriageway inahitaji taa za tofauti na zile za single...Tuone watafanyaje ila tuendelee kuwapa presha hivyohivyo.
hahaa kabisa tutawapa presha naona wajisahaulisha
 
Mwanza wasipokaa makini watakuja wapate tatizo la foleni haswaa hii Barbara ya Kutoka town kwenda mkuyuni-nyegezi-buhongwa mpk usagara watanue iwe Kama ya Airport!!

Typed Using KIDOLE
wanaelewaga sa
wanasubir had yawakute puan ndo waanze kufanya matengenezo
 
Huo mpango niliusikiaga na nashangaa hadi sasa haujawa implemented.. Au wanasubir mpaka barabara izidiwe kama ilivyokuwa ya airport!! Wakina Mabula hawa duh!!
kwa kwel mabula mi kwangu kaproove failure kwa kwel hususan kwenye barabara za mitaan na hizo kuu
ila pia kidogo ile mitaa ya pemba tusiwe muongo kajitahid kuunganisha barabara ya lami
 
kwa kwel mabula mi kwangu kaproove failure kwa kwel hususan kwenye barabara za mitaan na hizo kuu
ila pia kidogo ile mitaa ya pemba tusiwe muongo kajitahid kuunganisha barabara ya lami
Zile barabara bomba sana...sahivi nikitaka kutoka Kenyatta road hadi Nyerere road bila kupitia Pamba road napita vizuri kabisa...ila ule si mpango wa WB kweli sababu nasikia kule maeneo yake barabara haziridhishi.
 
Zile barabara bomba sana...sahivi nikitaka kutoka Kenyatta road hadi Nyerere road bila kupitia Pamba road napita vizuri kabisa...ila ule si mpango wa WB kweli sababu nasikia kule maeneo yake barabara haziridhishi.
itakua
ngoja tuone hapo mbeleni maana kuna uchaguzi tusikie maneno yao
 
Umesahau na suala la ujenzi holela

Nadhani kwa Tanzania mwanza inaongoza!.
Kaka nenda geita sehemu inaitwa katoro... Ni balaa..... Nyumba standard zote (classic) kabisaaaa mpango mji -0
 
Kaka nenda geita sehemu inaitwa katoro... Ni balaa..... Nyumba standard zote (classic) kabisaaaa mpango mji -0
hili tatizo liko tz yote
hakuna namna juz kome huko moto umeteketeza takriban vibanda 3000 sabab ya ujenz holela
 
Huo mpango niliusikiaga na nashangaa hadi sasa haujawa implemented.. Au wanasubir mpaka barabara izidiwe kama ilivyokuwa ya airport!! Wakina Mabula hawa duh!!
Mzee baba naona hua una allergy kabisa na Mabula(Nyamagana),hahah.
 
Orenjorai ndo nilikuwa jembe la mwanzs,toka alipoondolewa mwanza imekuwa dolo sanaa,
Wanazidiwa hata na simiyu,tabora nk, yaan mwanza inahitaji mkuu wa mkoa jembe sanaaaaaaaa,ila as for now hakuna kitu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Orenjorai ndo nilikuwa jembe la mwanzs,toka alipoondolewa mwanza imekuwa dolo sanaa,
Wanazidiwa hata na simiyu,tabora nk, yaan mwanza inahitaji mkuu wa mkoa jembe sanaaaaaaaa,ila as for now hakuna kitu

Sent using Jamii Forums mobile app
kwa muktadha upi
maana kila mkoa una changamoto zake kwetu hapa tunaona maendeleo yapo ila kuna baadhi ya viongoz tu hawawajibiki vizuri kwenye maeneo yao .
 
Waliishia wapi hawa?
1631441429591.png
 
Back
Top Bottom