Weka kideo tuoneDuh jamaa anarusha ngumi utazan anapigana na bashite
Hiyo ni kawaida kwenye mchezo wa ndondi
Atajipanga vzr kwenye mchezo mwingine
Any way kile kikombe alichopewa si mchezo
Ova
Wakuu, nasikitika sana kuona jinsi hao mabondia Wabongo (kweli mimi nawaita panya road) wanavyogongwa knock out nyepesi tu. Hivi wametoka wapi hawa? Huyo wa pili karibu afe ulingoni round ya kwanza tu.
Kweli kwenye mapambano muhimu kama haya yanayotazamwa duniani kote tunapeleka mabondia wa ajabu ajabu kuichafua tasnia ya boxing Tanzania?
Nani kahusika na hujuma hii?
Huyu Suleiman ni mzanzibar namjuaWakuu, nasikitika sana kuona jinsi hao mabondia Wabongo (kweli mimi nawaita panya road) wanavyogongwa knock out nyepesi tu. Hivi wametoka wapi hawa? Huyo wa pili karibu afe ulingoni round ya kwanza tu.
Kweli kwenye mapambano muhimu kama haya yanayotazamwa duniani kote tunapeleka mabondia wa ajabu ajabu kuichafua tasnia ya boxing Tanzania?
Nani kahusika na hujuma hii?
Hatuongelei kupoteza pambano, tunaongelea aina ya upinzani walioonyesha. Walikuwa kama sio maboxer kabisa, elewa contextKweli hii ni aibu kabisa. Lakini kwa nini ukwenda huko kuwatetea? Au kwa nini ukwenda wewe kupambana?
NB:
Kwenye pambano lolote kuna mambo matatu,
1: Kushinda
2: Kushindwa na
3: Kutoa droo
kwa hiyo hapo wameangukia tu kati ya hayo matatu