Aibu kubwa kwa CHADEMA

Aibu kubwa kwa CHADEMA

Mnapambana kwa hoja? hoja gani? kutukana watu na kupeleka umbea ndio hoja?

Wewe tatizo lako haufatilii mikutano ya CDM, unadhani ukiwa kwenye laptop utajua yanayo endelea huku field?

Bi Hamida hepu tuwekee ushahidi wa picha kwa vile wewe ulihudhuria
 
Mitambo hiyo hiyo imenasa ccm wakigawa kombat za chadema kwa green guards wa ccm nyumbani kwa mgombea udiwani wa ccm Elerai.

Chezea chadema uone!!!!

Sent from my BlackBerry 9780 using JamiiForums

Hivi kuchangia njia za kusaidia kudhibiti uhalifu kwa kuweka vyombo kama DVR ni kosa kisheria? Kama sio kosa Hebu hamasisheni watanzania wengine walio tayari tusaidie uendeshaji wa hivyo vyombo ili vitusaidie kudhihirisha maovu yanayofanywa kwa mwamvuli wa amani na kuwatisha watanzania ambao walikuwa hawajafikia hata hatua ya kudai bali kuomba haki zao za msingi.


Mungu awezeshe siku ya kesho iwe kama atakavyo yeye na sio watakavyo wanadamu wenye dhamana ya kuwasemea wengine.
 
WanaJF!

Nimepita hapa Manzese kwenye mkutano wa CHADEMA walio uandaa kwa ajili ya mjadala wa katiba mpya.

Jambo ambalo ni la kushangaza ni idadi ndogo sana ya watu utadhani wana hutubia kitchen party au send-off.

Ingawa kulikuwa na juhudi za kutosha katika kuutangaza mkutano huo, lakini watu wa Dar hawana muda wa kupoteza hivyo mwitikio umekuwa mdogo mno.

DALILI YA CHADEMA KUCHOKWA INA DHIHIRI.

Na mtaisoma namba magamba..... Mlalapo, muamkapo, mnaiwaza chadema! Mnaiota chadema. Hakika chadema ni mwarobaini kwa magamba... Inatwanga kote kote! Na jiwe limewapata gizani mlikojificha, sasa mnapiga kelele. Na bado hizo ni rasha rasha tu, bado masika. Akili ndogo zitaongozaje akili kubwa?!
 
Ulitaka wasombe watu wa mbagala keko, mwenge, mburahati, mpaka kibaha kama wafanyavyo ccm na mke wake cuf
WanaJF!

Nimepita hapa Manzese kwenye mkutano wa CHADEMA walio uandaa kwa ajili ya mjadala wa katiba mpya.

Jambo ambalo ni la kushangaza ni idadi ndogo sana ya watu utadhani wana hutubia kitchen party au send-off.

Ingawa kulikuwa na juhudi za kutosha katika kuutangaza mkutano huo, lakini watu wa Dar hawana muda wa kupoteza hivyo mwitikio umekuwa mdogo mno.

DALILI YA CHADEMA KUCHOKWA INA DHIHIRI.
 
WanaJF!

Nimepita hapa Manzese kwenye mkutano wa CHADEMA walio uandaa kwa ajili ya mjadala wa katiba mpya.

Jambo ambalo ni la kushangaza ni idadi ndogo sana ya watu utadhani wana hutubia kitchen party au send-off.

Ingawa kulikuwa na juhudi za kutosha katika kuutangaza mkutano huo, lakini watu wa Dar hawana muda wa kupoteza hivyo mwitikio umekuwa mdogo mno.

DALILI YA CHADEMA KUCHOKWA INA DHIHIRI.

ccm itatawala.milele.
jibu ndiyo au sio.
 
Kama huna muda wa mambo ya kitaifa una muda wa nini jnga kubwa wewe, nchi inayumba unatoa wapi kejeli?

huyu hana tofauti na mkabaji au jambazi, anachojali yeye ni nafsi yake tu.

hoja zao ndo kama hizo, ujinga ujinga tu...
 
Chadema haina mvuto Dar. Wale wanatamba wakiwa Arusha na Moshi. Haya ndiyo matatizo ya vyama vya ukanda na ukabila. Halafu eti wapewe nchi??!!! Watajaza wachaga tupu ikulu
kuna gharama kubwa kuja kulikomboa na kulirudisha taifa kwenye mstari kwa kazi hii muifanyayo ya kupadikiza chuki za udini, ukanda na ukabila.
 
Aibu ni kiongozi wa chama tawala kutukana hovyo. Mwigulu amepata ban kwa kutukana matusi ya nguoni JF.

Wakuu,

Nasikitika kuwafahamisha kuwa tumemfungia Mhe. Mwigulu Nchemba hapa JF kwa muda wa mwezi mmoja kutokana na kuwatukana watanzania kwa lugha ya asili "Mazogolo mani"

Baada ya kufuatilia, tumebaini ni tusi baya ambapo limepoteza maana nzima ya bandiko lake. JF ina sheria zake na haziangalii cheo cha mtu, sura yake, chama chake, kabila lake wala dini yake. Sheria hizi zinatumika kwa wanachama wote waliojisajili JF.

Asanteni
 
CCM ina mvuto Pemba? mbona inatawala, sembuse CDM wenye wabunge na madiwani lukuki DAR?? machozi ya samaki huenda na maji
 
Hii inatokana na chuki zinazopandikizwa na viongozi wa vyama vya siasa. Tanzania itazidi kupotea lazima wanasiasa wabadlike.

Yaani siasa tunachukulia kama dini yaani kama wewe ni dini flani basi ya mwenzako haikuhusu wakati mie naona mikutano ya wanasiasa inatakiwa kila mwananchi bila kujali itikadi haudhurie but kwetu tunakwenda based na wewe ni wa chama gani, unajua unapokuwa mwananchi wa kawaida lazima tuelewe kwamba muundo wa serikali ni ule ule kwa mujibu wa katiba hivyo hata aingie nani kwa kipindi cha mwanzo cha utawala utabaki vilevile na kama kuna afisa ardhi sijui afisa nani kwenye halmashauri yako wataendelea kuwepo na kinachobadilika ni muundo wa kiutawala nikiwa na maana wasimamizi wa shughuli zote za serikali kama madiwani na idadi ya wabunge kwa chama husika na ndio maana mtu akiwa mrengo huu ataki kabisa kusikiliza ya mrengo mwingine yaani ni sawa na mtu anaeingia kwenye kikao kwa lengo la kubisha hata uzungumze mazuri kiasi gani yeye hayasikii kwani anakuwepo kwa ajili ya kukosoa
 
Cdm walizani wapo mbeya hii ni dar Mtu aje ktk mkutano sera huna walikuja kutangaza Vingunguti hadi gongolambota na kosta Moja ilikwenda manzese hawana watu nyie ni magumash zilongwa mbali zitendwa mbari
 
Chadema haina mvuto Dar. Wale wanatamba wakiwa Arusha na Moshi. Haya ndiyo matatizo ya vyama vya ukanda na ukabila. Halafu eti wapewe nchi??!!! Watajaza wachaga tupu ikulu

Hivi wewe sisi wachagga tuliopo ccm unataka kutuambiaje?
 
Maccm siyo lazima mtuone kwenye mikutano manake ndiko mnatuangamiza Jeuri ya Chadema utaipata kwenye sanduku la kura
 
Back
Top Bottom