FREDRICK FLAVIUN
Member
- Dec 20, 2012
- 13
- 1
WanaJF!
Nimepita hapa Manzese kwenye mkutano wa CHADEMA walio uandaa kwa ajili
ya mjadala wa katiba mpya.
Jambo ambalo ni la kushangaza ni idadi ndogo sana ya watu utadhani wana
hutubia kitchen party au send-off.
Ingawa kulikuwa na juhudi za kutosha katika kuutangaza mkutano huo,
lakini watu wa Dar hawana muda wa kupoteza hivyo mwitikio umekuwa mdogo
mno.
DALILI YA CHADEMA KUCHOKWA INA DHIHIRI.
Mmmmmmmmhhhhhhhh!