WanaJF!
Nimepita hapa Manzese kwenye mkutano wa CHADEMA walio uandaa kwa ajili ya mjadala wa katiba mpya.
Jambo ambalo ni la kushangaza ni idadi ndogo sana ya watu utadhani wana hutubia kitchen party au send-off.
Ingawa kulikuwa na juhudi za kutosha katika kuutangaza mkutano huo, lakini watu wa Dar hawana muda wa kupoteza hivyo mwitikio umekuwa mdogo mno.
DALILI YA CHADEMA KUCHOKWA INA DHIHIRI.
Dar es salaam ni jiji chafu la 12 Duniani...jiji linanuka...tabu ya usafiri...nyumba duni za ku-assume tu....madampo kila kona...poor hygiene....mitaa ya hovyo....maisha ya kuunga unga....mateja kibao....n.k...
Ni vigumu watu hawa kuwakusanya pamoja kutokana na kadhia hizo hapo juu....mie mwenyewe nipo dar ila nafuatilia hapa JF!
kweli kama Anne kilango malecela na Agrey mwanri!Chadema haina mvuto Dar. Wale wanatamba wakiwa Arusha na Moshi. Haya ndiyo matatizo ya vyama vya ukanda na ukabila. Halafu eti wapewe nchi??!!! Watajaza wachaga tupu ikulu mapimbi hawa
WanaJF!
Nimepita hapa Manzese kwenye mkutano wa CHADEMA walio uandaa kwa ajili ya mjadala wa katiba mpya.
Jambo ambalo ni la kushangaza ni idadi ndogo sana ya watu utadhani wana hutubia kitchen party au send-off.
Ingawa kulikuwa na juhudi za kutosha katika kuutangaza mkutano huo, lakini watu wa Dar hawana muda wa kupoteza hivyo mwitikio umekuwa mdogo mno.
DALILI YA CHADEMA KUCHOKWA INA DHIHIRI.
WanaJF!
Nimepita hapa Manzese kwenye mkutano wa CHADEMA walio uandaa kwa ajili ya mjadala wa katiba mpya.
Jambo ambalo ni la kushangaza ni idadi ndogo sana ya watu utadhani wana hutubia kitchen party au send-off.
Ingawa kulikuwa na juhudi za kutosha katika kuutangaza mkutano huo, lakini watu wa Dar hawana muda wa kupoteza hivyo mwitikio umekuwa mdogo mno.
DALILI YA CHADEMA KUCHOKWA INA DHIHIRI.
Chadema haina mvuto Dar. Wale wanatamba wakiwa Arusha na Moshi. Haya ndiyo matatizo ya vyama vya ukanda na ukabila. Halafu eti wapewe nchi??!!! Watajaza wachaga tupu ikulu mapimbi hawa
Wamefulia Chadema tena heri mwaka huu mwakani ndio balaa kwao.
Chadema haina mvuto Dar. Wale wanatamba wakiwa Arusha na Moshi. Haya ndiyo matatizo ya vyama vya ukanda na ukabila. Halafu eti wapewe nchi??!!! Watajaza wachaga tupu ikulu mapimbi hawa
Duh! CHADEMA wanaangaika, wanadhani kila mtu ana muda?
Chadema haina mvuto Dar. Wale wanatamba wakiwa Arusha na Moshi. Haya ndiyo matatizo ya vyama vya ukanda na ukabila. Halafu eti wapewe nchi??!!! Watajaza wachaga tupu ikulu mapimbi hawa
Umesikia kuwa DVR zimefungwa AR. Kaokoe jahazi namna ya kuzifanya zisinase ile mambo yenu. We komaa tu hapa kwenye keyboard halafu badae usiseme wanatoa matamko na uongo. Peleka jicho site.
ww ndio uende na mumeo. Machadamu yamechoka kama mbwa mwizi
Chadema haina mvuto Dar. Wale wanatamba wakiwa Arusha na Moshi. Haya ndiyo matatizo ya vyama vya ukanda na ukabila. Halafu eti wapewe nchi??!!! Watajaza wachaga tupu ikulu mapimbi hawa
idadi siyo issue ni ukombozi tu ! Kumbuka kuwa kwenye watu wachache hao ndiko Maryrose amejiunga na jeshi la ukombozi leosio situ niko manzese muda huu ni aibu nitatupia picha mjionee chadema imeaibika duu