Jana na juzi tumepokea katika mitandao na barua pepe mbalimbali Tamko la Chama cha DP kuhusu bomu la Arusha, licha ya kulisoma tamko hilo, wote mliotumiwa angalieni limetumwa kwa kutumia barua pepe ya CCMTANZANIAcontentsfolder@gmail.com Tujiulize nimeleta hapa haraka, kuna uhusiano gani kati ya CCMTanzania na Mtikila, Mtikila aulizwe kwanini ametuma barua pepe hiyo kwa kutumia anwani ya CCM waliandaa pamoja au aliandaliwa ili akasaini? Tunapeleka wapi nchi yetu? na Je CCM walikuwa wanaweweseka nini hadi wamwite Mtikila kutoa tamko la kusema Chadema wanahusika na Bomu la Arusha??? Tunaipenda nchi yetu, Serikali ichukue hatua.