Aibu: Huu ndo mradi wa kuzinduliwa na Rais?

Aibu: Huu ndo mradi wa kuzinduliwa na Rais?

Lord Denning

JF-Expert Member
Joined
Jun 3, 2015
Posts
23,494
Reaction score
57,869
Huko Namtumbo Rais amezindua mradi wa ka kiwanda cha kuchenjua Uranium kama mashine za kusaga za vijijini. Mradi ambao kiuhalisia ulipaswa hata kuzinduliwa na Diwani wa Kata husika.

Hata hao wawekezaji tu wanaonekana ni wapigaji na wajanja wajanja tu ambao hawana hili wala lile. Hata kwenye maelezo wanayotoa hawako clear hicho kiwanda chao cha kuchenjua Uranium kitalinufaishaje Taifa?

Kituko zaidi ukitaka kujua mradi huu ni usanii watu wanachenjua Uranium alafu hawana hata protective gears ukizingatia madini haya yanavyofahamika kwa kuwa na mionzi mikali.

No Reforms No Election ✊️ ✌️

FB_IMG_1753878416647.jpg
 
Huko Namtumbo Rais amezindua mradi wa ka kiwanda cha kuchenjua Uranium kama mashine za kusaga za vijijini. Mradi ambao kiuhalisia ulipaswa hata kuzinduliwa na Diwani wa Kata husika.

Hata hao wawekezaji tu wanaonekana ni wapigaji na wajanja wajanja tu ambao hawana hili wala lile. Hata kwenye maelezo wanayotoa hawako clear hicho kiwanda chao cha kuchenjua Uranium kitalinufaishaje Taifa?

Kituko zaidi ukitaka kujua mradi huu ni usanii watu wanachenjua Uranium alafu hawana hata protective gears ukizingatia madini haya yanavyofahamika kwa kuwa na mionzi mikali.

No Reforms No Election ✊️ ✌️

View attachment 3424816
ULITEGEMEA UONE MAJENGO MENGI KAMA JIJI ZIM LA DAR AU?
 
Kwenye picha ni trailer tu, movie yenyewe inakuja ===== wanasema mradi huo utatengeneza ajira za watu 4000 moja kwa moja. Sijawai kuwaamini CCM kwa data zao za kupika na kupakua.
Msalime gwajiboy lol
 
Huko Namtumbo Rais amezindua mradi wa ka kiwanda cha kuchenjua Uranium kama mashine za kusaga za vijijini. Mradi ambao kiuhalisia ulipaswa hata kuzinduliwa na Diwani wa Kata husika.

Hata hao wawekezaji tu wanaonekana ni wapigaji na wajanja wajanja tu ambao hawana hili wala lile. Hata kwenye maelezo wanayotoa hawako clear hicho kiwanda chao cha kuchenjua Uranium kitalinufaishaje Taifa?

Kituko zaidi ukitaka kujua mradi huu ni usanii watu wanachenjua Uranium alafu hawana hata protective gears ukizingatia madini haya yanavyofahamika kwa kuwa na mionzi mikali.

No Reforms No Election ✊️ ✌️

View attachment 3424816
Uliwaona ng'ombe wa Heche kwenye ranchi yake! ? Ahahahahaha!!!

Nadhani anaonesha mfano bora wa ufugaji tofauti na hawa wawekezaji! Ahahahahaha!!!
 
Huko Namtumbo Rais amezindua mradi wa ka kiwanda cha kuchenjua Uranium kama mashine za kusaga za vijijini. Mradi ambao kiuhalisia ulipaswa hata kuzinduliwa na Diwani wa Kata husika.

Hata hao wawekezaji tu wanaonekana ni wapigaji na wajanja wajanja tu ambao hawana hili wala lile. Hata kwenye maelezo wanayotoa hawako clear hicho kiwanda chao cha kuchenjua Uranium kitalinufaishaje Taifa?

Kituko zaidi ukitaka kujua mradi huu ni usanii watu wanachenjua Uranium alafu hawana hata protective gears ukizingatia madini haya yanavyofahamika kwa kuwa na mionzi mikali.

No Reforms No Election ✊️ ✌️

View attachment 3424816
Mambo ya siasa tu hayo.
 
Huko Namtumbo Rais amezindua mradi wa ka kiwanda cha kuchenjua Uranium kama mashine za kusaga za vijijini. Mradi ambao kiuhalisia ulipaswa hata kuzinduliwa na Diwani wa Kata husika.

Hata hao wawekezaji tu wanaonekana ni wapigaji na wajanja wajanja tu ambao hawana hili wala lile. Hata kwenye maelezo wanayotoa hawako clear hicho kiwanda chao cha kuchenjua Uranium kitalinufaishaje Taifa?

Kituko zaidi ukitaka kujua mradi huu ni usanii watu wanachenjua Uranium alafu hawana hata protective gears ukizingatia madini haya yanavyofahamika kwa kuwa na mionzi mikali.

No Reforms No Election ✊️ ✌️

View attachment 3424816
Sasa ulitaka uzinduliwe na Heche au? Oktoba tunatiki hata ukinuna shauri yako😎
 
Back
Top Bottom