Baada ya miaka hamsini ya uhuru ni aibu sana kwa hospitali ya mkoa ya morogoro ambayo imepandishwa kuwa hospitali ya rufaa kukosa huduma ya X-RAY.
Kuna siku nikiwa kwenye daladala nilisikia mtu akilalamika kwa kitendo hicho ila sikuamini. Jana ndiyo niliamini baada ya mmoja wa kijana aliyejeruhiwa jana kushindwa kuhudumiwa kutokana na kukosekana kwa huduma hiyo. MAISHA BORA KWA KILA MTANZANIA.....
Kuna siku nikiwa kwenye daladala nilisikia mtu akilalamika kwa kitendo hicho ila sikuamini. Jana ndiyo niliamini baada ya mmoja wa kijana aliyejeruhiwa jana kushindwa kuhudumiwa kutokana na kukosekana kwa huduma hiyo. MAISHA BORA KWA KILA MTANZANIA.....