masai dada
JF-Expert Member
- Dec 29, 2013
- 16,823
- 16,890
kweli mnakutana na majanga ndio maana mnaleta thread za malalamiko kila siku. unashangaa bao nne!!! tena hapo najihisi nimezeeka ingekuwa miaka sita/saba ago ungekimbia kitanda!
hahahahaaa mpwa lol..!
Hahaaah stakiii kuamini haya maneno umeandika we nditoo lol kumbe was mtundu...ashes nalee
Mmh round 10?
ulikua mfano tu
Mwambie huyo!
Ok, just a metaphor hakuna shida! Dah 10 si unaweza toa damu sasa sio sperm tena
hahaaaaa sperm zitakua zimeisha ama
Ujazo wa mtu mwenye afya ni ml chache tu size ya teaspoon, sasa vijiko 10 consecutively sio mchezo!
Kuna sehemu nilikuwepo nilikuwa nawasikia wakina dada na kina mama wengi wanadai wanaume wengi hawaridhishi kitandani mkishapiga bao lenu moja mnalegea vibaya.
Kitu kingine wanacholalamika wanawake ni kwamba wanaume wengi mna haraka sana mkifunuliwa paja tu mnachanganyikiwa kama kuku kamuona mwewe.
Sasa nashauri wanaume wenzangu mnapokuwa na wanawake wakazeni vya kutosha coz huko nje mpaka wanawataja majina kwamba wengi wenu nyie ni suruali na ndevu tu, wadau angalau bao 4 hivi kidogo ndio wanaanza kujisikia akili yao imekaa vizuri.
Maoni yenu wakina kaka tulizungumzie hili
nunua za kutosha jo!
Kuna sehemu nilikuwepo nilikuwa nawasikia wakina dada na kina mama wengi wanadai wanaume wengi hawaridhishi kitandani mkishapiga bao lenu moja mnalegea vibaya.
Kitu kingine wanacholalamika wanawake ni kwamba wanaume wengi mna haraka sana mkifunuliwa paja tu mnachanganyikiwa kama kuku kamuona mwewe.
Sasa nashauri wanaume wenzangu mnapokuwa na wanawake wakazeni vya kutosha coz huko nje mpaka wanawataja majina kwamba wengi wenu nyie ni suruali na ndevu tu, wadau angalau bao 4 hivi kidogo ndio wanaanza kujisikia akili yao imekaa vizuri.
Maoni yenu wakina kaka tulizungumzie hili
Hao wanawake wa wapi wanaoshindwa kuzungumza na wenza wao ili waridhishwe badala yake wanaenda kulalamika nje..???
Kama huridhishwi tafuta namna njema ya kuongea na mumeo....!!
Mwanaume komaa na ubunifu wingi wa mabao achia wacheza netball....