Mwesiga Jr
New Member
- Jan 3, 2017
- 3
- 0
Mimi ni mkazi wa manispaa Iringa nipo likizo lkn nliombwa nirejee kuungana na Mkuu wa mkoa kumpongeza Mkuu wa nchi,,,SMS hii apa
Mkuu wa Mkoa, Mh. A. Masenze, ametupa mwaliko wa kuungana na wananchi wa Iringa ktk kumpongeza Mh. Rais J. P. Magufuli kwa utendaji. Ni Jumamosi, trh. 24. 6. 2017 saa 2. 00 kuanzia manispaa hadi Mwembetogwa. Kutakuwa na mada zitakazowasilishwa na wanazuoni mbalimbali. Tushiriki.
Mkuu wa Mkoa, Mh. A. Masenze, ametupa mwaliko wa kuungana na wananchi wa Iringa ktk kumpongeza Mh. Rais J. P. Magufuli kwa utendaji. Ni Jumamosi, trh. 24. 6. 2017 saa 2. 00 kuanzia manispaa hadi Mwembetogwa. Kutakuwa na mada zitakazowasilishwa na wanazuoni mbalimbali. Tushiriki.