tusionacho
JF-Expert Member
- Nov 23, 2016
- 274
- 514
Wiki nzima hii wamechoma mafuta kutangaza eti ombi la wananchi la kumpongeza Rais limekubaliwa na mkuu wa mkoa Amina Masenza.
Hili tulijua ni mbinu chafu na hakuna watu waliotuma maombi kama hayo ila inafanyika hivyo zaidi kwenye halmashauri zinazoongozwa na UKAWA ili kuhadaa wananchi.
Leo asubuhi kwenye maandamano hayo kumekuwa na wanafunzi wachache ambao ni kidato cha nne na cha pili ambao bado wanaendelea na huku kidato cha kwanza na pili wakiwa likizo pia watumishi wachache waoga wa umma.
Hii iwe funzo na ni matumizi mabaya ya kodi za wananchi.
Hili tulijua ni mbinu chafu na hakuna watu waliotuma maombi kama hayo ila inafanyika hivyo zaidi kwenye halmashauri zinazoongozwa na UKAWA ili kuhadaa wananchi.
Leo asubuhi kwenye maandamano hayo kumekuwa na wanafunzi wachache ambao ni kidato cha nne na cha pili ambao bado wanaendelea na huku kidato cha kwanza na pili wakiwa likizo pia watumishi wachache waoga wa umma.
Hii iwe funzo na ni matumizi mabaya ya kodi za wananchi.