Ahsanteni sana wanawake wote kwa kuwa warembo

Ahsanteni sana wanawake wote kwa kuwa warembo

virtuoso

Senior Member
Joined
May 15, 2017
Posts
104
Reaction score
165
Ahsanteni sana kwa wanawake wote kwa kuwa warembo, najua ni jitihada kubwa mnafanya kuwa warembo hivyo, mara nyingi sisi wanaume tumekuwa wabinafsi wa shukrani na leo kwa niaba ya wanaume wote nawaambia asanteni sana kwa kuwa warembo, urembo wenu ni furaha machoni na amani moyoni basi kwa wale wenzangu ambao hatujawahi kumsifia mpenzi au mwanamke yeyote kwa kuwa mrembo huu ni wakati.
 
Tafadhali naomba busara itumike kuniengua kwenye hiyo hoja ya "kwa niaba ya wanaume",siwezi kuwasifia yaan hela zangu halafu wajikwatulie then nizid kuwapongeza tena
 
Ahsanteni sana kwa wanawake wote kwa kuwa warembo.najua ni jitihada kubwa mnafanya kuwa warembo hivyo..mara nyingi sisi wanaume tumekuwa wabinafsi wa shukran na leo kwa niaba ya wanaume wote nawaambia asanteni sana kwa kuwa warembo,urembo wenu ni furaha machoni na amani moyoni.basi kwa wale wenzangu ambao hatujawahi kumsifia mpenzi au mwanamke yeyote kwa kuwa mrembo huu ni wakati..

Sasa utamsifiaje Mkeo au Demu wako wakati nyuma ya pazia wengi wao huwa ' tunashea ' nao na ' Masela ' namaanisha huwa ' Wanachepuka ' nao? Nitakuwa wa mwisho ' Kumuamini ' Mtu aitwae Mwanamke kutokana na ' Historia ' yao ya Kimaandiko inayowahukumu na kututaka sana Wanaume tuishi nao kwa akili sana.
 
sio kwa niaba ya wanaume wote sema kwa niaba ya wanaume wa DAR.
 
Asante ila kuna kitu kileta cho furaha umesahau
 
Uje na uzi unaosema ASANTENI KWA KUTOKOMEZA FLAT SCREEN NA ONGERENI KWA VYURA
 
Back
Top Bottom