Ahsanteni kwa kazi

Ahsanteni kwa kazi

Mauntana

Member
Joined
Mar 10, 2012
Posts
81
Reaction score
14
Wanajamvi mimi ni mmoja wa watu niliyeamini kazi ni za kujuana tu. Napenda kuwashukuru watu wema wanaoweka matangazo humu. Siku ikifika imefika nimepata kazi nzuri sana kupitia JamiiForum. Mungu ibariki JamiiForum.

Ambao bado msikate tamaa omba tu hata ukiomba kazi kumi kwa siku.Nikisikia nafasi sehemu sitaacha kuweka humu Jamvini.
 
mbona hamuwekagi wazi hizo kazi mnazopata humu au ni kuuza mabeseni mtaani
 
mbona hamuwekagi wazi hizo kazi mnazopata humu au ni kuuza mabeseni mtaani

mkuu kwani kazi ya kuuza mabeseni mtaani sio kazi? kama kulikuwa kuna tangazo la kuuza mabeseni mtaani humu jf na jamaa ameomba kapata na ndio karudi kuishukuru jf na member walipost hilo tangazo, karidhika na alichokipata tusimkatishe tamaa jamani LOL
 
Wanajamvi mimi ni mmoja wa watu niliyeamini kazi ni za kujuana tu. Napenda kuwashukuru watu wema wanaoweka matangazo humu. Siku ikifika imefika nimepata kazi nzuri sana kupitia JamiiForum. Mungu ibariki JamiiForum.

Ambao bado msikate tamaa omba tu hata ukiomba kazi kumi kwa siku.Nikisikia nafasi sehemu sitaacha kuweka humu Jamvini.

hongera kaka endelea kumuomba mungu pia hongera kwa kumbuka ulipotoka
 
mkuu kwani kazi ya kuuza mabeseni mtaani sio kazi? kama kulikuwa kuna tangazo la kuuza mabeseni mtaani humu jf na jamaa ameomba kapata na ndio karudi kuishukuru jf na member walipost hilo tangazo, karidhika na alichokipata tusimkatishe tamaa jamani LOL

hoja yangu ya msingi ni kuwe na feedback kamili juu ya kazi walizopata kuuza mabeseni ni kazi pekee inayoweza kupatikana kwa urahisi kuliko kazi zingine zozote
 
Wanajamvi mimi ni mmoja wa
watu niliyeamini kazi ni za kujuana tu. Napenda kuwashukuru watu wema
wanaoweka matangazo humu. Siku ikifika imefika nimepata kazi nzuri sana
kupitia JamiiForum. Mungu ibariki JamiiForum.

Ambao bado msikate tamaa omba tu hata ukiomba kazi kumi kwa
siku.Nikisikia nafasi sehemu sitaacha kuweka humu Jamvini.

Sasa uache tamaa na kuendelea ku-apply, ili usiwazibie vijana wenzako....
 
sasa uache tamaa na kuendelea ku-apply, ili usiwazibie vijana wenzako....
yani jana nimekereka sana nimekwenda fanya interview na watu wenye kazi na magari wamepaki hapo nje nilikasirika sanaila nilifurahi kujua kwamba ile kazi ilishauzwa siku nyingi laki 4 na mhusika hajaja hata kwenye interview.jamani nyie wenye kazi simtulie tu mbona hivyo!!nimemkutta jamaa mja anafanya kazi bodi ya mikopo nikamwambia kaka tuachie hizi kazi wewe si una kazi nzuri akasema sina peace of mind dah! Nilikasirika sana huu ulafi huu!!
 
:msela::bange::llama::majani7::dance::clap2:. Fanya kazi.
 
Usisahau kutoa fungu la kumi hapa JF, wasiliana na Invisible akupe mwongozo
 
Back
Top Bottom