sio kama zanzibar hakuna watu wenye ujuzi, lakini tatizo la ZNZ siasa mbele, mara nyingi wanachaguliwa watu kwa utashi wa kisiasa wewe tizama baraza letu la wawakilishi (CCM) aibu tupu wawakilishi wanashindwa hata kujieleza , tunadhalilika sana ZNZ kwa upuuzi huu wa kila kitu siasa mbele.
Wewe Ras Nungwi wacha maneno ya Mkahawani. Wewe kama una uwezo si gombea hizo,nafasi nani amekuzuia, au wewe mwenyewe unawasiwasiwasi na kisomo chako. usaidaharau Wakunga na Uzazi ungaliko.