Saa nyingine ni vema kuongea naMdomo kuliko ****** wako ambaoHauna adabu wala kheshima... Eti kila siku navi kataa hivyo vikidiWatakiwa urudi nyumbani ukafunzwe tena.Kuliko kuja hapa na kuharisha ushenzi kama huu umeniudhi kupita kiasi .. kufilia mbaliMuhuni mkubwa we.Kwani kupata mtoto ni big deal, mi kila siku navikataa hivyo vi-kid. Sasa naona kuna umuhimu wa kuanzisha Jukwaa la UJAUZITO NA KUJIFUNGUA. Siyo kila kitu lazima kije hapa, mwisho mtaanza kupost mpaka chakula mnachokula sasa.
Kwani kupata mtoto ni big deal, mi kila siku navikataa hivyo vi-kid. Sasa naona kuna umuhimu wa kuanzisha Jukwaa la UJAUZITO NA KUJIFUNGUA. Siyo kila kitu lazima kije hapa, mwisho mtaanza kupost mpaka chakula mnachokula sasa.
Saa nyingine ni vema kuongea naMdomo kuliko ****** wako ambaoHauna adabu wala kheshima... Eti kila siku navi kataa hivyo vikidiWatakiwa urudi nyumbani ukafunzwe tena.Kuliko kuja hapa na kuharisha ushenzi kama huu umeniudhi kupita kiasi .. kufilia mbaliMuhuni mkubwa we.
Matusi uliyotukana mi namwachia Mungu tu, maandiko yananiambia nisamehe saba mara sabini. Malaika wa Mungu wata-deal na wewe tu, we subiri adhabu tu!Saa nyingine ni vema kuongea naMdomo kuliko ****** wako ambaoHauna adabu wala kheshima... Eti kila siku navi kataa hivyo vikidiWatakiwa urudi nyumbani ukafunzwe tena.Kuliko kuja hapa na kuharisha ushenzi kama huu umeniudhi kupita kiasi .. kufilia mbaliMuhuni mkubwa we.
Unafiki mtupu.. Eti Malaika wa Mungu wata -deal na mimi..Na hao malaika ambao we unawakata ..Wata deal na nani...Usijifanye mtakatifu naomba..Matusi uliyotukana mi namwachia Mungu tu, maandiko yananiambia nisamehe saba mara sabini. Malaika wa Mungu wata-deal na wewe tu, we subiri adhabu tu!