Ahsante Mungu, wife amejifungua salama

Kwani kupata mtoto ni big deal, mi kila siku navikataa hivyo vi-kid. Sasa naona kuna umuhimu wa kuanzisha Jukwaa la UJAUZITO NA KUJIFUNGUA. Siyo kila kitu lazima kije hapa, mwisho mtaanza kupost mpaka chakula mnachokula sasa.
 
hongera mkuu!

Mungu awape afya njema mama na mtoto... Mungu awajalie pia hekima na busara mumlee vema!
 
Kwani kupata mtoto ni big deal, mi kila siku navikataa hivyo vi-kid. Sasa naona kuna umuhimu wa kuanzisha Jukwaa la UJAUZITO NA KUJIFUNGUA. Siyo kila kitu lazima kije hapa, mwisho mtaanza kupost mpaka chakula mnachokula sasa.
Saa nyingine ni vema kuongea naMdomo kuliko ****** wako ambaoHauna adabu wala kheshima... Eti kila siku navi kataa hivyo vikidiWatakiwa urudi nyumbani ukafunzwe tena.Kuliko kuja hapa na kuharisha ushenzi kama huu umeniudhi kupita kiasi .. kufilia mbaliMuhuni mkubwa we.
 
Kwani kupata mtoto ni big deal, mi kila siku navikataa hivyo vi-kid. Sasa naona kuna umuhimu wa kuanzisha Jukwaa la UJAUZITO NA KUJIFUNGUA. Siyo kila kitu lazima kije hapa, mwisho mtaanza kupost mpaka chakula mnachokula sasa.

Siku hizi ukiwa mjamzito na ukajifungua salama ni bahati ndugu yangu, Joji amefurahia hiyo bahati so akaona si vibaya kushea furaha yake na memba wenzie... Wanawake wanakufa sana wakat wa kujifungua...
 
Saa nyingine ni vema kuongea naMdomo kuliko ****** wako ambaoHauna adabu wala kheshima... Eti kila siku navi kataa hivyo vikidiWatakiwa urudi nyumbani ukafunzwe tena.Kuliko kuja hapa na kuharisha ushenzi kama huu umeniudhi kupita kiasi .. kufilia mbaliMuhuni mkubwa we.

Mambo swahiba?
Hivi kumbe hata wewe wakasirikaga hv?... Msamehe bure huyu manake hajui alinenalo... Kuna siku atavikumbuka hvyo vi kid bt itakuwa too late...
 
Hongera sana na mungu azidi kuwabariki mkapate kumlea vyema kijana akapate kukua na kuwa raia mwema na mpiganaji.
 
Saa nyingine ni vema kuongea naMdomo kuliko ****** wako ambaoHauna adabu wala kheshima... Eti kila siku navi kataa hivyo vikidiWatakiwa urudi nyumbani ukafunzwe tena.Kuliko kuja hapa na kuharisha ushenzi kama huu umeniudhi kupita kiasi .. kufilia mbaliMuhuni mkubwa we.
Matusi uliyotukana mi namwachia Mungu tu, maandiko yananiambia nisamehe saba mara sabini. Malaika wa Mungu wata-deal na wewe tu, we subiri adhabu tu!
 
Hongera sana kaka..
naomba nipendekeze jina la mtoto: Eben-ezer/Ebeneza/Ebenezer/Ebenezeri...spelling yoyote utakayopenda.
Soma: 1Samuel 7:12
 
glory to god bra
usisahau kutoa sadaka chukua weka kwenye bahasha inenee mema mwambie Mungu nakushukuru na pia taja mahitaji yako kwa huyo mtot Mungu akusaidie mtoto akikuwa aende shule nzuri na si shule ale chakula kizuri na si bora chakula na mengine mengi tu Mungu atokuacha
 
wazo tu
kumbuka muwe mnajitahdi kusali sana sana usiku ,,utaona usiku mambo makubwa watoto wanayaona we huoni soln ni maombi ya kufululiza
mpaka kanalala na sio kulia
 
Matusi uliyotukana mi namwachia Mungu tu, maandiko yananiambia nisamehe saba mara sabini. Malaika wa Mungu wata-deal na wewe tu, we subiri adhabu tu!
Unafiki mtupu.. Eti Malaika wa Mungu wata -deal na mimi..Na hao malaika ambao we unawakata ..Wata deal na nani...Usijifanye mtakatifu naomba..
 
Back
Top Bottom