lebadudumizi
Senior Member
- Jun 9, 2011
- 149
- 20
Futa posho ongeza mishahara ya watumishi wote full stop.
YouTube - ‪ZITO KABWE AKISOMA BAJETI YA UPINZANI BUNGENI‬‏Mkuu @New York City; US.
Tatizo ni kwamba hizo Posho zinawafaidisha watu wachache sana
Ndugu yangu pamoja na hoja zako nzuri, lakini tukubaliane kwamba kama hawa hawa waliopo kwenye uongozi ndio wanashindwa kusimamia hizo sheria zilizopo na at the same time wanatumia nafasi hizo hizo kujihalalishia posho haramu. Kwa mfano kwenye halmashauri fulani hapa nchini, unakuta mtu mmoja anaandikwa kwenye warsha 3 hadi 5 kwa siku au wiki. Kwamba unakuta wiki moja kuna semina 3 tofauti, watu wa ardhi, watu wa idara ya elimu na wana semina yao, Mazingira nao, n.k. Hapo unakuta treasurer anaandikwa kwny hizo semina zote na asipoandikwa anakuwa na turufu ya kukubali kwamba semina hii ina posho au la! Na kingine unakuta wahudhuriaji hapa ni wale wale wa level moja/fulani siku zote, je wale ambao wako marginalized na huu mfumo haramu wako condemned to abysmal poverty?
- Well, people tusiwaruhusu viongozi wetu kutu-limit our Natioanl scope kwa kuangalia short terms political solutions, Tanzania ni bigger than hawa viongozi wetu, sasa wasitu-short site na kutufikisha kwenye quick reactionary political solution kwa masuala muhimu kama ya uchumi wa taifa which kwa maoni yangu is the heart also ya hoja ya Zitto, tutafute majibu magumu ambayo ni long term National solution, kama viongozi hawawajibiki kwenye kusimamia sheria za uchumi makazini, siamini solution ni kupunguza ujira as I understand to be your concern here mkuu!
- Tufikirie solutions ambazo zinatakuwa ni good kwa taifa for the next 100 years, sio tu good kwa ajili ya uchaguzi wa Rais 2015!
William @ NYC, USA.
Nimesikitishwa sana na mtoa hoja malecela juu ya dhana hii ya posho kwa watumishi wa umma. Nadhani hajaiangalia kwa kina au ameangalia ki misingi ya kisiasa zaidi kwa kuwa imetolewa na Zitto, CDM!! Zitto (Mhe.) anakubakiana na dhana ya kuboresha masilahi ya watumishi wote wa umma-mishahara! Anapinga kulipana posho kwa watumishi wa umma hususan viongozi wa juu kwa kazi ambazo ndo majukumu yao; na kuacha wafanyakazi wengine (polisi, walimu, madakitari, wauguzi, ma bwanashamba,usala wa taifa n.k) wakiwa hawana posho ili hali nao hufanya vikao vingi tu vya kazi zao pasina kulipwa posho. Wabunge wanatumia uweO wao wa kupisha au kutunga sheria kujilimbikizia wenyewe na hivyo kuwafanya viongozi wengine seriakli (mawaziri, makatibu wakuu, wakurugunzi wa idara,wakuu wa mikoa/wilaya, nk) kutumia mwanya huo nao kujilipa kila wanapokuwa na vikao vyao vya kazi za kila siku. Hawa ni wachache sana katika asilimia ya wafanyakazi wa tanzania, bali wanachukuwa kiwango kikubwa cha fedha za umma kwa posho, ambacho kama kingetumika vema wangeweza kupandisha masilahi ya wafanyakazi wote wa umma kwa kiwango kikubwa (kumbuka posho katika budget hii ni karibu 25% ya budget). Hii ndo argument ya Zitto (mhe.) posho zote zifutwe na ikiwezeka zielekezwe kuboresha masilahi ya wafanyakazi na shughuli zingine za maendeleo ya nchi. Kama ni lazima kulipana posho wabunge na viongozi wa juu; basi kuwe na posho kwa kila mtumishi ya kazi yake (staffic-standing allowance-akiwa kwenye jua mchana kutwa; mwalimu-teaching alllowances; nurse; caring allowances, n.k ya kila siku wafanyazo kazi!!!!!!!!! Hoja siyo kupunguza masilahi ya watu, bali kutotoa mwanya kwa wachache wenye mamulaka kufaidi keki ya taifa peke yao kwa masilahi yao wala si ya watanzania, period!!
Toto la fisadi at work. huna point wewe. wangesema hao CCM, usingesema maneno hayo. ungewasupport 100%. Akili topetope. Wewe ngoja tukichukua nchi, nyinyi wasaliti tutawashughulikia tu. I hate you.
Mkuu William,
Katika hili ninatofautiana na wewe kwa 100%. Kwanza naona mada ya posho kwako ni msamiati unaodhihirisha welfare (Flourishing life eg labda kwa mbunge, etc). Lakini ukiangalia hili suala la posho Mfano kwa wabunge, linapelekea kuwa na ushindani wa hali ya juu katika kugombea kwani mtu anaona kuwa akipata ubunge basi malupulupu ni mengi including POSHO. Hii inapelekea kuingia kwenye ubunge hata watu wasiokuwa na dhamira ya kweli ya kutetea wananchi Mfano Mbunge wa Kahama-Lembeli. Na pia hili hili suala watu wanafanya kila mbinu kusacrifice chochote (mfano kulogana a.k.a uchawi a.k.a ndumba) ili mtu awe mbunge kwa sababu kuna mshiko mkubwa. Kwa ufupi wabunge wengi kuwa ni wauza sura, njuka (Halima Mdee), yaani wengi wao utakuta wapo pale kwa ajili ya posho tu. Ila endapo mfano utitiri wa posho ukipunguzwa na watu kweli wawe accountable kwa kazi zao, basi lile wimbi la maprof, ma Dr, wenye tamaa na utajiri wa haraka hawataingia bungeni, bali tutapata watu wenye uchungu na wananchi. Na hapa nimechambua upande mmoja tu, sijasemea kuhusu kuprioritize gov expenditure Mfano mabweni shule za kata, maji vijijini n.k.
Kwa hiyo kaka hili suala ni multifaceted, na siyo ujamaa kwani hili ni suala la accountability kwa wafanyakazi wa umma.
- Unapaswa kusikitishwa na hoja yangu sio mtoa hoja, HOWEVER; kama taifa letu tunataka kufuata Demokrasia ya kweli huwezi kupunguza poshos za wabunge ukaacha za watumishi wengine kwenye taifa, kama ninakuelewa kilio chako ni kile kile cha wananchi wengi on this ishu kwamba usmamiaji wa sheria za posho makazini, now that has nothing to do na viwango ambavyo mimi nido hasa ninaposiamamia, huu ujira tumetoka nao mbaali sana hili taifa mpaka kuufikisha hapa ulipo, ninakataa hoja ya aina yoyote ile inayoshauri kurudi tena kule tulikotoka zamani, tunatka kusonga mbele! Kugusua ujira sasa ni kuigusa The Middle Class, we can't afford that for the good of our our future as a nation!
- Kukimbilia ajira as solution to our problems ni kutafuta majibu mepesi kwa ajili ya maswali magumu sana!
William @ NYC, USA.
Sina wasi wasi kwamba SOONER RATHER THAN LATER,Wale wabunge wanaoshabikia posho zibaki watakumbana na ZOMEA ZOMEA MAJIMBONI MWAO.Ni suala la muda tu,watu wakiielewa hoja hii Nyie akina MREMA etal mnaozipigia chapuo mtakosa kukubalika,JIVUENI MAGAMBA MAPEMA.JOIN ZITO UPESI na tusaidieni kufutilia mbali dhana ya POSHO ati kuboresha maisha ya mfanyakazi,mshahara ndo uboreshwe.COME ON!
- Unapaswa kusikitishwa na hoja yangu sio mtoa hoja, HOWEVER; kama taifa letu tunataka kufuata Demokrasia ya kweli huwezi kupunguza poshos za wabunge ukaacha za watumishi wengine kwenye taifa, kama ninakuelewa kilio chako ni kile kile cha wananchi wengi on this ishu kwamba usmamiaji wa sheria za posho makazini, now that has nothing to do na viwango ambavyo mimi nido hasa ninaposiamamia, huu ujira tumetoka nao mbaali sana hili taifa mpaka kuufikisha hapa ulipo, ninakataa hoja ya aina yoyote ile inayoshauri kurudi tena kule tulikotoka zamani, tunatka kusonga mbele! Kugusua ujira sasa ni kuigusa The Middle Class, we can't afford that for the good of our our future as a nation!
- Kukimbilia ajira as solution to our problems ni kutafuta majibu mepesi kwa ajili ya maswali magumu sana!
William @ NYC, USA.
- Unapaswa kusikitishwa na hoja yangu sio mtoa hoja, HOWEVER; kama taifa letu tunataka kufuata Demokrasia ya kweli huwezi kupunguza poshos za wabunge ukaacha za watumishi wengine kwenye taifa, kama ninakuelewa kilio chako ni kile kile cha wananchi wengi on this ishu kwamba usmamiaji wa sheria za posho makazini, now that has nothing to do na viwango ambavyo mimi nido hasa ninaposiamamia, huu ujira tumetoka nao mbaali sana hili taifa mpaka kuufikisha hapa ulipo, ninakataa hoja ya aina yoyote ile inayoshauri kurudi tena kule tulikotoka zamani, tunatka kusonga mbele! Kugusua ujira sasa ni kuigusa The Middle Class, we can't afford that for the good of our our future as a nation!
- Kukimbilia ajira as solution to our problems ni kutafuta majibu mepesi kwa ajili ya maswali magumu sana!
William @ NYC, USA.
Uliyoyaandika hapo embu jaribu kusoma mwenyewe then utaelewa wapi ulipokosea
Ndugu yangu mada zako sometimes huwa zinakingana zenyewe ndo hapo huwa nashindwaga kuzielewa nimekuwa mfatiliaji wa jamii forums daily lakini sichangiagi kutokana na kwamba mada nyingine ni kuchafuana na mambo mengine ni ushabiki usio wa msingi.
Malecela hoja yako iyo ya kusema posho zisipunguzwe elewa kwanza pendekezo la zito lielewe na usikurupuke kama Nape huwa haelewi anakurupakaga nini na kuongea mabo then badae anabaki kimya anajishangaa mwenyewe
Huwa najiulizaga uelewa wa viongozi na makada wa CCM elimu zao na jamii wanazotoka mpaka leo sijapata jibu sijui mpaka sasa kama we mwenyewe ukikaa na kutafakari kama kuna mwana CCM yeyote ambaye ana akili timamu kuanzia mwenyekiti hadi wanaoishabikia CCM nadhani wote wana ulakini na mambo yao so next time unapokua uanaandika kitu kisome kwanza then upost