William J. Malecela
R I P
- Apr 27, 2006
- 26,588
- 10,375
@ Facebook: by William Malecela on Wednesday, June 15, 2011 at 10:57pm
@ NEW YORK CITY - USA: Ujira wa Wabunge wetu wanapokuwa bungeni kutuwakilisha wananchi, je ni mkubwa sana kuliko uwezo wetu Nationally, au ni just another political stunt aiming at gaining temporary political populism? I mean Mh. Zitto anahitaji heshima kwa kuibua hii debate, lakini at the same token ni haki yetu wananchi kuuliza maswali magumu on the ishu ili tusiishie kuuziana mbuzi kwenye magunia. Binafsi ninasema kwamba I am very troubled na this ishu of what exactly is the logic behind it on Mheshimiwa's side, kwa sababu toka isemwe nimejaribu kuangalia what is the long term to our National interest on it to no avail kabisa , WHY? Tanzania ndio kwanza tumetoka kwenye siasa za the Doomed Communism, we are still in the transition or work in progress towards Capitalism and then kabla hatujaenda mbaali sana recently kumekua na vilio vya kutaka kurudi kwenye Azimio La Arusha na the so called maadili ya uongozi, now here comes this which in the large picture ni kupunguziana ujira makazini. Hapa ndipo huwa ninauliza hivi: Hili taifa tulilogwa na nani?
- People, look here I don't care what, haya ni mambo ya kurudishana tulikotoka yaani kwenye maisha ya Usawa usawa nonsense ambayo ndio yamelifkisha hili taifa hapa tulipo! I mean kama kiongozi mmoja ameamua kwamba hela anazolipwa ni nyingi sana kwake hazihitaji tena, great azichukue na kupeleka kokote anakotaka, lakini trying to make a National policy out of it ni misguided thinking na the answer is NO! Wa-Tanzania tumetoka mbali sana na matatizo ya ujira makazini, taifa letu limepoteza wataalamu wakubwa sana waliobobea kwenye fani mbali mbali Duniani kwa sababu ya kuogopa kwao kufanya kazi Tanzania kisa cha ujira mdogo sana kulinganisha na ujuzi walionao ambao sisi as a Nation tuliuhitaji sana, ni only miaka ya karibuni ndio pole pole tumeanza kuwa na National progress on ujira infact mpaka sasa we can claim having a Middle Class, ambayo ni simply the results of ajira zenye ujira nafuu makazini. Sasa why now throw this Mheshimiwa Zitto's thing in the mix? I mean ukianza na posho za wabunge leo, kesho utaanza kuingilia Madakitari, sasa where would you draw the fine line na standards za ujira? Ndio maana ninasema kwamba the idea ni only temporary political populism stunt, lakini haina anything good on the long term and permannet National interest na itaishia kutukimbizia wananchi wataalamu as it has done in the past, ambao hili taifa tunawahitaji sana sasa kuliko wakati wowote mwingine toka tupate uhuru.
- Tulipoingia siasa za vyama vingi as a nation, tulikubaliana kimsingi kwamba Viongozi wetu wa taifa tuwalipe kulingana na hali halisi ya maisha, ili kuwaondoa kwenye tamaa za Rushwa, huenda Mheshimiwa hakuwepo wakati huo au alikuwa mdogo sana kiumri, lakini anapaswa kuelewa kwamba huo ujira uliwekwa kwa sababu za kimsingi sana zilizojali maisha ya Viongpozi wetu kama sisi wananchi wengine wote, ambao in the wake of ujira mdogo wakati tunalitumikia taifa inaweza kutupelekea kufanya maamuzi mengi against taifa kuelekezea kwenye matumbo yetu zaidi kwa sababu ya ujira mdogo sana kutoka kwenye taifa letu wenyewe tunalolitumikia usiku na mchana. Hakuna taifa Duniani lililopata maendeleo kwa haraka sana kwa kupounguza ujira wa Viongozi wake wa Taifa, na if the point ni political symbolism zaidi then wananchi wa chini twafwa, kwa sababu ni lazima upunguze ujira wa kila sekta katika taifa, huwezi kuishia kwenye Wabunge tu. Na the worst of all the idea inapanda mbegu za kuanza kuongozana kwa kutumia mob rule au mob justice in the process badala ya natural justice ambayo ni hatari sana kwa our future National political Stability, yaani hii ya kiongozi yoyote kukurupuka tu na misguided hojas bila hata kuki-consult chama chake cha siasa, wananchi tuzikatae siasa za namna hii kwenye taifa hatuzihitaji kabisaa, ndio maana tuna sheria ya vyama vya siasa.
:- Kwa hayo yote ninasema hivi Mh. Zitto hongera sana kwa uamuzi wako, lakini tafadhali sana uishie kwako tu, usituuzie hili taifa mbuzi kwenye gunia!- tunataka kwenda mbele sio kurudi nyuma tena tulikotoka, ukiweza pigania kuongezeka kwa ujira makazini lakini sio kupunguzwa kwa sababu at the heart ya hoja yako ni kusonga mbele kwa kurudi kinyume nyume which is impossible!
William Malecela @ New York City; US.
@ NEW YORK CITY - USA: Ujira wa Wabunge wetu wanapokuwa bungeni kutuwakilisha wananchi, je ni mkubwa sana kuliko uwezo wetu Nationally, au ni just another political stunt aiming at gaining temporary political populism? I mean Mh. Zitto anahitaji heshima kwa kuibua hii debate, lakini at the same token ni haki yetu wananchi kuuliza maswali magumu on the ishu ili tusiishie kuuziana mbuzi kwenye magunia. Binafsi ninasema kwamba I am very troubled na this ishu of what exactly is the logic behind it on Mheshimiwa's side, kwa sababu toka isemwe nimejaribu kuangalia what is the long term to our National interest on it to no avail kabisa , WHY? Tanzania ndio kwanza tumetoka kwenye siasa za the Doomed Communism, we are still in the transition or work in progress towards Capitalism and then kabla hatujaenda mbaali sana recently kumekua na vilio vya kutaka kurudi kwenye Azimio La Arusha na the so called maadili ya uongozi, now here comes this which in the large picture ni kupunguziana ujira makazini. Hapa ndipo huwa ninauliza hivi: Hili taifa tulilogwa na nani?
- People, look here I don't care what, haya ni mambo ya kurudishana tulikotoka yaani kwenye maisha ya Usawa usawa nonsense ambayo ndio yamelifkisha hili taifa hapa tulipo! I mean kama kiongozi mmoja ameamua kwamba hela anazolipwa ni nyingi sana kwake hazihitaji tena, great azichukue na kupeleka kokote anakotaka, lakini trying to make a National policy out of it ni misguided thinking na the answer is NO! Wa-Tanzania tumetoka mbali sana na matatizo ya ujira makazini, taifa letu limepoteza wataalamu wakubwa sana waliobobea kwenye fani mbali mbali Duniani kwa sababu ya kuogopa kwao kufanya kazi Tanzania kisa cha ujira mdogo sana kulinganisha na ujuzi walionao ambao sisi as a Nation tuliuhitaji sana, ni only miaka ya karibuni ndio pole pole tumeanza kuwa na National progress on ujira infact mpaka sasa we can claim having a Middle Class, ambayo ni simply the results of ajira zenye ujira nafuu makazini. Sasa why now throw this Mheshimiwa Zitto's thing in the mix? I mean ukianza na posho za wabunge leo, kesho utaanza kuingilia Madakitari, sasa where would you draw the fine line na standards za ujira? Ndio maana ninasema kwamba the idea ni only temporary political populism stunt, lakini haina anything good on the long term and permannet National interest na itaishia kutukimbizia wananchi wataalamu as it has done in the past, ambao hili taifa tunawahitaji sana sasa kuliko wakati wowote mwingine toka tupate uhuru.
- Tulipoingia siasa za vyama vingi as a nation, tulikubaliana kimsingi kwamba Viongozi wetu wa taifa tuwalipe kulingana na hali halisi ya maisha, ili kuwaondoa kwenye tamaa za Rushwa, huenda Mheshimiwa hakuwepo wakati huo au alikuwa mdogo sana kiumri, lakini anapaswa kuelewa kwamba huo ujira uliwekwa kwa sababu za kimsingi sana zilizojali maisha ya Viongpozi wetu kama sisi wananchi wengine wote, ambao in the wake of ujira mdogo wakati tunalitumikia taifa inaweza kutupelekea kufanya maamuzi mengi against taifa kuelekezea kwenye matumbo yetu zaidi kwa sababu ya ujira mdogo sana kutoka kwenye taifa letu wenyewe tunalolitumikia usiku na mchana. Hakuna taifa Duniani lililopata maendeleo kwa haraka sana kwa kupounguza ujira wa Viongozi wake wa Taifa, na if the point ni political symbolism zaidi then wananchi wa chini twafwa, kwa sababu ni lazima upunguze ujira wa kila sekta katika taifa, huwezi kuishia kwenye Wabunge tu. Na the worst of all the idea inapanda mbegu za kuanza kuongozana kwa kutumia mob rule au mob justice in the process badala ya natural justice ambayo ni hatari sana kwa our future National political Stability, yaani hii ya kiongozi yoyote kukurupuka tu na misguided hojas bila hata kuki-consult chama chake cha siasa, wananchi tuzikatae siasa za namna hii kwenye taifa hatuzihitaji kabisaa, ndio maana tuna sheria ya vyama vya siasa.
:- Kwa hayo yote ninasema hivi Mh. Zitto hongera sana kwa uamuzi wako, lakini tafadhali sana uishie kwako tu, usituuzie hili taifa mbuzi kwenye gunia!- tunataka kwenda mbele sio kurudi nyuma tena tulikotoka, ukiweza pigania kuongezeka kwa ujira makazini lakini sio kupunguzwa kwa sababu at the heart ya hoja yako ni kusonga mbele kwa kurudi kinyume nyume which is impossible!
William Malecela @ New York City; US.