una uhakika na unayosema? Au halima alikuwa akifikisha ujumbe mkubwa zaidi kwa slaa?
we shekhe ubwabwa mbona unampeleka na kumvutia katika mawazo finyu ya kwako uelewa wako mdogo unafanya ujidgalilishe na ubongo wako finyu kama matope ya tifu tifu
una uhakika na unayosema? Au halima alikuwa akifikisha ujumbe mkubwa zaidi kwa slaa?
ZOMBA BORA UKAFANYE KAZ KWA MZUNGU YA KUTOA MBWA NJE KULIKO KULETA UNAFIKI WA KUSAMBAZA UZUSH hapa hebu kajipatie haraka hiyo kaz maana itakufaa c o kufanya udin udin kama wale mashekhe ubwabwa wa zenj UZUSHI WA CCM KAMPENI ZA 2010 MASARIA YAKE YAMEBAKI KWA ZOMBA. AAaaaaameeen!
Hujayapenda maneno ya Mheshimiwa Halima Mdee au vipi?
ARV hizo, sasa nyie na jamaa zenu wanaokurupuka na kuchukuwa mijanajike ya watu ndio muelewe hiyo.