Ngoja mpendwa
gfsonwin nikukabidhi shukrani kwa mistari....... Khaa! Ulinitibuje?
Tiba ulonipatia,
gfsonwin sikia,
Imenishika sawia, Maradhi yameishia,
Niko gado nakwambia, vitu naweza shushia,
Nimepona Asprin, Njooni niwakague.
Nimepona nawambia,
Yummy cacico sikia,
Mshedede kama gia, uko imara sawia,
charminglady sogea, utamu ntakupatia
Nimepona Asprin, Njooni niwakague.
sweetlady aminia, hata na
Blaki Womani,
Preta kwangu karibia, utamu nambari wani,
Nawe
BADILI TABIA,
Bishanga atakupani?
Nimepona Asprin, Njooni niwakague.
Uko wapi
CUTE wangu,
Mamndenyi nangojea,
Remmy wa moyoni mwangu, hata
ney kush pia,
Mtambuzi ndugu yangu, debe weza nipigia?
Nimepona Asprin, Njooni niwakague.
Homi
Kaizer sikia, ndugu yako nimepona,
Nahitaji kukagua, Jukuu zangu hiyana,
Waweza nisaidia, kukaba bila kubana?
Nimepona Asprin, Njooni niwakague.
Kongosho wangu wa ndani, asali ya asilia,
afrodenzi wa moyoni, njoo nipate pumua,
TaiJike wa zamani, nataka kukurudia,
Nimepona Asprin, njooni niwakague.
Nyote kwangu karibuni, Mabinti mwanisikia?
Mabinti kwangu njooni, huduma kuwapatia,
Njooni ukaguzini, kazi yangu kukagua,
Nikisha kuwakagua, Gharama sitawachaji.
Na: Asprin a.k.a babu ODM'
Kaunta ya Juu,
Fyatanga Bar
KingStar Boko Basihaya.
Haki zote zimehifadhiwa. Hairuhusiwi kusomwa na
Young_Master,
Erickb52,
Mentor,
Lily Flower na
FirstLady1