Remmy
JF-Expert Member
- Jun 9, 2009
- 4,701
- 1,807
inasikitisha sana, itv wameonyesha ajali hukobombo, mtu kavunjika mguu, damu inatoka kichwani, hospitali haina xray......
Inauma sana.....
Nimeiona.......
nikashangaa huku serikali inatoa pesa za kuua watu...
Ama kweli taifa letu sijui la kifree masons?