demigod
JF-Expert Member
- Jan 2, 2015
- 8,309
- 15,289
Nam...
Nilikuwa nikitoka kazini hivi leo jioni.Nilipo fika maeneo fulani
nikapata nafasi ya kusikia vijana wakibishana masuala mbalimbali ya kisiasa, Sikuwa nikisikiliza mazungumzo yao kwa makini,
Ila nikabahatika kusikia kijana mmoja akitamka neno kuwa "Demokrasia ni mzizi wa ukafir".
Binafsi sikuweza kuelewa maana ya hiko alichokuwa akimaanisha.!
Nimeona niliweke hili jambo humu jamvini ili mwenye kujua zaidi aweze kunifahamisha.!
Karibuni!
Nilikuwa nikitoka kazini hivi leo jioni.Nilipo fika maeneo fulani
nikapata nafasi ya kusikia vijana wakibishana masuala mbalimbali ya kisiasa, Sikuwa nikisikiliza mazungumzo yao kwa makini,
Ila nikabahatika kusikia kijana mmoja akitamka neno kuwa "Demokrasia ni mzizi wa ukafir".
Binafsi sikuweza kuelewa maana ya hiko alichokuwa akimaanisha.!
Nimeona niliweke hili jambo humu jamvini ili mwenye kujua zaidi aweze kunifahamisha.!
Karibuni!