Extension780
New Member
- Apr 4, 2025
- 1
- 0
Kipindi Cha uchaguzi wa mwaka 2020 zilitolewa ahadi kede kede ikiwemo ujenzi wa "flyovers" Kwa junctions kama magomeni, Morocco, na mwenge.
Hizi zingesaidia sana kupunguza foleni katika Jiji la Dar es salaam.
Hadi sasa tunaelekea kwenye uchaguzi mwingine na ubao bado unasoma "bila bila" kuhusiana na ahadi hii au tusubirie "MUUJIZA" wowote katika dakika hizi za lala salama?
Alamsiki
Hizi zingesaidia sana kupunguza foleni katika Jiji la Dar es salaam.
Hadi sasa tunaelekea kwenye uchaguzi mwingine na ubao bado unasoma "bila bila" kuhusiana na ahadi hii au tusubirie "MUUJIZA" wowote katika dakika hizi za lala salama?
Alamsiki