kwenye t.v si tuliona jinsi mnavyomshangilia na kupendekeza kuongezewa miaka ya kuongoza leo kaondoka mnaanza kuponda.Bado mambo ni magumu, waliahidi mwisho Tar 30. March leo Tar. 8 April
Mashamba hayajaandaliwa. CCM ni bora ijitafakari tu haifai tena kuongoza
nchi hii.
Mkuu mbona mh.Rais kwenye hotuba zake huko maeneo ya Mtwara anapenda kusema tayari wakulima wa korosho wamelipwa na majina anayo atawapa wakuu wa wilaya wabandike kila sehemu ili kila mtu aoneBado mambo ni magumu, waliahidi mwisho Tar 30. March leo Tar. 8 April
Mashamba hayajaandaliwa. CCM ni bora ijitafakari tu haifai tena kuongoza
nchi hii.
Unakusudiwa hawa wanaopelekwa na magari? Hawa wenye nguo zaNimeona kwenye ziara yake mtwara anashangiliwa nikaanza kujiona mimi bwege kwa kumchikia
Sent using Jamii Forums mobile app