alexander paulo
JF-Expert Member
- Dec 21, 2011
- 492
- 155
mfanyabiashara mmoja wa biashara ndogondogo eneo la ubungo riverside amegongwa na gari baada ya mapigano kati ya polisi na wafanyabiashara wa eneo hilo na yasemekana kafarik,na mtoto mdogo kapigwa na polisi wakati wa mapambano hayo