Karucee
JF-Expert Member
- Mar 11, 2012
- 18,146
- 34,190
Huwa nakuheshimu sana mkuu japo ni kimya kimya.
Be blessed.
Be Blessed too.
Much respect.
Huwa nakuheshimu sana mkuu japo ni kimya kimya.
Be blessed.
Mkuu hiyo ni deleted post futa tu comment yakohahaaa"akili zako zinanini leo !?" dish limeyumba"" au kifurushi kimeisha ""?
Thank you so much Karucee. That was too harsh I agree with you 110%.
Kafariki leo mchana saa tisa, kafia hospital ya mama ngoma mwenge, kws sasa mwili wake umehamishiwa muhimbili kwa ajili ya kuhifadhiwa ili kusubiri taratibu nyingine mungu aipokee roho yake.Kuna nini tena, kafa lini?
halafu "" mimi "nimemshangaa "kweli yaani ""Jamani kwenye mambo kama haya ya kuumiza tujalibu kua serious, kila mtu ana madhambi yake
Just say you believe there is God, if you know that means you have seen him.
hahaaa"" comment yngu sifuti""Mkuu hiyo ni deleted post futa tu comment yako
Post zinakuwa merged maana kila mtu anafungua bila kujua tayari ipo thread.kila nilipojaribu kufungua habari imhusuyo huku nimekuta taarifa imefutwa !!!!
Enjoy your life baby... there's no hell
Ndo wanasema heri uamini usiikute kuliko usiamini uikute eeh?Oh there is.
Acha iwepo bana.Ndo wanasema heri uamini usiikute kuliko usiamini uikute eeh?
Hakuna binadamu mwenye haki ya kumnyooshea mwingne kidole, nani kakupa haki ya kuhukumu? Je wewe ni msafi.Sikuungi mkono kwa hili.Na msambwanda wote ule.... Kweli malipo ni hapa hapa... ⚰ Rip Agie hukuacha hata wa kusingiziwa.... Utakutana nao huko akhera wale uliowatanguliza
Mmmh unadhani ngengwee inaptikana kirahisi tuKumbe alikuwa na ngengwee pia