MSAGA SUMU
JF-Expert Member
- May 25, 2015
- 6,494
- 20,516
Hii dunia bhana,kumbu kumbu Kubwa kwa Dada Aggii ni msambwanda
KakaNa msambwanda wote ule.... Kweli malipo ni hapa hapa... ⚰ Rip Agie hukuacha hata wa kusingiziwa.... Utakutana nao huko akhera wale uliowatanguliza
NgomaNdiyo nini hiyo ngengwee??
Lazima maana siyo kwa mzigo ulee...Ngoma
Ahhha hhaaLazima maana siyo kwa mzigo ulee...
Jamani kwenye mambo kama haya ya kuumiza tujalibu kua serious, kila mtu ana madhambi yakeNa msambwanda wote ule.... Kweli malipo ni hapa hapa... Rip Agie hukuacha hata wa kusingiziwa.... Utakutana nao huko akhera wale uliowatanguliza
Washaanza kutangaza kwenye radio mkuuDo let's be serious guys, source
Samahani, yaishe mkuu.Binadamu sio watu, kwani we hujui mkuu!?
hahaaa"akili zako zinanini leo !?" dish limeyumba"" au kifurushi kimeisha ""?Wale ma Mortuary attendant tujuzane basi mwili wake umehifadhiwa wapi, walau tupate kuushika msambwanda!
Ubarikiwe kwa kuwa Muungwana.Wala hujanikosea, samahani wewe mkuu kama nimekukwaza na maneno yangu. Nakiri kosa nafuta post