Agiza simu yoyote original /tablet unayoitaka kutoka Ebay/ U.S.A!

Agiza simu yoyote original /tablet unayoitaka kutoka Ebay/ U.S.A!

mathematics

JF-Expert Member
Joined
Feb 21, 2012
Posts
3,324
Reaction score
1,116
Kampuni yetu inahusika na kuagiza na kuuza vitu vya electronics, computers, laptops, projectors etc. Kutokana ni ngumu kuagiza simu chaguo la kila mteja anayoitaka, tunachukua fursa hii kuwapa nafasi wateja wetu kutoa order ya simu/tablet anayoitaka, alimradi bajeti ya hiyo simu/tablets haizidi 500$.

Kwanini uagize simu/tablet toka usa?
una uhakika na u-orijino wa bidhaa unayoagiza, na pia unapata unafuu wa bei kwa bidhaa husika kulinganisha na ungenunua hapa tz, au na wakat mwingine unachokitaka hakipo kabisa tz.

Utaratibu unakuwaje basi?
weka jina la simu unayoitaka hapo chini, then nitakupa makadirio ya mchanganuo wa gharama wa hiyo simu ukijumlisha shipping mpaka unaipata mkononi. (makadirio ya simu unayoitaka yanaweza badilika wakati wowote)

Search hiyo simu au product kwenye online site yoyote ya Marekani, ebay/amazon/walmart then utupe link, hata wanazoship usa only tutakusaidia kulipia, na kupata hicho kitu in a max time of 3 weeks. (Express shipping by EMS ipo na haichukui not more than 10 days, ukiwa ready tutajadili faida na hasara zake)

sababu ni spesho order, mteja utalipa pesa yote ya simu/tablet in advance, kuepuka kuagiziwa simu inakuja halafu mteja analeta sababu nyingine. Malipo yote yatafanyika ofisni tu, na utapatiwa receipt kama ushahidi wa malipo ya gharama za kuagiza simu.

Kitachofuata ni wewe kusubiri wiki 3 tutakukabidhi simu yako. Zikipita siku 45 toka siku uliyopress order yako hujapata simu yako tutakurudishia pesa yote in full amount.

Simu/tablet ukishaletewa utatulipa 15% ya gharama ya simu/tablet jumlisha shipping kama ujira wetu wa kukuagizia simu, halafu ndipo simu utapatiwa mkononi mwako.


Makadirio ya shipping na bei hadi Dar es salaam
makadirio ya shipping hadi Tanzania, kwa economy shipping jumlisha bei ya simu jumlisha na 40usd, economy shipping ndio ambayo nimeikadiria maximum ni wiki 3 . Kwa Eepress shipping chukua bei ya simu jumlisha 60usd, Express hsipping ndio ambayo nimekadiria 10 days. Baada ya kujumlisha ndio unapata bei ya simu hadi dar es salam kabla ya 15% yetu.

15% yetu
unachukua jumla ya bei ya simu na shipping hadi dar es salam, jibu utakalolipata hapo juu, then unazidisha na 15/100 , hiyo ndio gharama kama ujira wetu, punguzo lipo kwa atayeagiza simu zaidi ya moja kwa wakati mmoja.

Ofis zetu zipo jengo la RUBADA, Ubungo Shekilango, ni nyuma ya jengo la Ubungo Plaza, baada ya Blue Pearl kuna barabara isiyo na lami inaingia ndani, mbele yako utaona ghorofa la rangi kijani/njano iliyopauka, ground floor ndipo ofisi zetu zilipo.

Changamoto na maswali yanaruhusiwa, but please kama thread haikuhusu save your jokes and non senses for other threads.

Note: Thread hii haifundishi kuagiza simu/product from online site au usa kwa namna yoyote, kama una swali kama hilo hapa sio mahala pake, sitajibu message yoyote wala usinisumbue kwa call ya namna hiyo. Asante

CLEVA TECHNOLOGIES, RUBADA building, Rubada Street, Ubungo Shekilango Box 4238 Dar Es Salaam Phone: 0714-345958 / 0752-858693

Serious clientele send pm or call; 0714-345958 / 0752-858693 , hisabati@gmail.com
 
Sony Ericssony X8 E15i online inauzwa $105, without shipping cost from u.s.a je kwa kutumia nyie itaongezeka ngap apo?
##Lakini umetumia lugha isiyo,
 
Sony Ericssony X8 E15i online inauzwa $105, without shipping cost from u.s.a je kwa kutumia nyie itaongezeka ngap apo?
##Lakini umetumia lugha isiyo,

Lugha ambayo siyo nzuri ni wapi ndugu nijirekebishe?

Kama una-search mwenyewe online angalia ile ambayo ipo U.S.A ndio itakufikia haraka zaidi, kama ikiwa ipo China au HK itabidi usubirie hadi wiki 4 max. Muda wa item ku-shi-piwa to usa approx 2 weeks, then usa to tz approx 2 weeks. total waiting time approx 4 weeks. Nimeangalia hiyo simu sijaona kwa seller wa usa anayeuza,
the total price is 150usd plus shipping up to tz. ikiwa unaweza subiria hizo 4 weeks let me know.
 
let me take ur contacts, u must be useful some days to come. ila nina maswali, nikitaka kununua simu kama 20 au 30 gharama inapungua? na mimi ndie ninae tafuta au nyie? kama ni mimi je siwezi kuingizwa mjini? au kupoteza pesa zangu? kama ni nyie itanibidi pia nilipie hiyo pesa yote ya mzigo?
 
Lugha ambayo siyo nzuri ni wapi ndugu nijirekebishe?

Kama una-search mwenyewe online angalia ile ambayo ipo U.S.A ndio itakufikia haraka zaidi, kama ikiwa ipo China au HK itabidi usubirie hadi wiki 5 max. Muda wa item ku-shi-piwa to usa approx 2 weeks, then usa to tz approx 3 weeks. total waiting time approx 5 weeks. Nimeangalia hiyo simu sijaona kwa seller wa usa anayeuza,
the total price is 150usd plus shipping up to tz. ikiwa unaweza subiria hizo 5 weeks let me know.

Hapa Sasa naona kama na Uongo upo ndani. Kuna simu nilinunua kwenye mnada.co.tz na nikakutana na mtu anaitwa Godfrey Electronics kabla sijazilipia nilizonunua kwenye mnada kuna simu nilikuwa nahitaji nikamuuliza, akaniambia labda nikuagizie. nikamuuliza zinatoka wapi? akasema HongKong, nikamuuliza ntasubiri muda gani? akasema within 3 weeks. tukachagua na item na akanionyesha hadi invoice. Tukalipia, leo ni siku ya 16 na ameniambia mzigo umefika Dar na ameutuma kwenye Saibaba kesho naupokea. Wewe hiyo ya Wiki 5 HK umeitoa wapi?
 
let me take ur contacts, u must be useful some days to come. ila nina maswali, nikitaka kununua simu kama 20 au 30 gharama inapungua? na mimi ndie ninae tafuta au nyie? kama ni mimi je siwezi kuingizwa mjini? au kupoteza pesa zangu? kama ni nyie itanibidi pia nilipie hiyo pesa yote ya mzigo?

ndio seller anaweza kukupunguzia sisi tuta-negotiate naye, si unajua yeye kuuza 1pc sio sawa na kuuza 30pcs, pia unapata unafuu kwenye combined shipping. sisi ndio tunakutafutia, tunakulipia tunakuletea. ila ndio vile tena kuna mwingine unakuta ameona tayari kitu site fulani na anakitaka hichohicho kwahiyo anatupa link tunamsaidia kulipia na tunamletea hadi mikononi. ndio ni lazima utulipe pesa yote in advance ndipo tukuagizie/tukulipie.
 
Hapa Sasa naona kama na Uongo upo ndani. Kuna simu nilinunua kwenye mnada.co.tz na nikakutana na mtu anaitwa Godfrey Electronics kabla sijazilipia nilizonunua kwenye mnada kuna simu nilikuwa nahitaji nikamuuliza, akaniambia labda nikuagizie. nikamuuliza zinatoka wapi? akasema HongKong, nikamuuliza ntasubiri muda gani? akasema within 3 weeks. tukachagua na item na akanionyesha hadi invoice. Tukalipia, leo ni siku ya 16 na ameniambia mzigo umefika Dar na ameutuma kwenye Saibaba kesho naupokea. Wewe hiyo ya Wiki 5 HK umeitoa wapi?

ndio from HK kinaweza kuchukua even 7 days only kwa njia ya straight shipping from HK to TZ, na vilevile kinaweza kikachukua hata siku 30 , wazoefu tunajua. na kwa huo uzoefu wangu kuagiza vitu straigth from HK to TZ haina uhakika sana, wakati mwingine huweza chukua hata miezi miwili. kwahiyo mimi kwa uhakika zaidi huwa natumia route ya HK to USA then to tz, na hapo max time kwa kila route ni wiki 2, hivyo wiki 4. vilevile elewa maana ya neno "maximum" , manake muda unaweza kuwa chini ya hapo lakini hauwezi kuzidi hapo. na ikiwa una-m-garantii mtu kumletea kitu ni vema ukampa max time, kuliko kumpa muda mchache halafu muanze kusumbuana afikiri umekula pesa yake.
 
advance ni ya mzigo mzima au kiasi tu?
 
Online shops huwa zina gift cards or discount coupons, how do they apply to your services?
 
Nipe gharama ya motorola razr maxx ,
 
Duh! Yaani mtu una hela, wataka kuagiza kitu ebay au kwenye mitandao mingine, kwa nini upitie kwa mtu mwingine? Kama mtu ana account ya benki si ajiunge na huduma kama za paypal n.k ili kuweza kuagiza vitu online mwenyewe na si kupitia kwa mtu wa pili na kuanza kuchajiwa gharama za ziada? Kweli ujinga wa wengine ni ajira kwa wengine.
 
Naitaji simu aina ya Smartphone iliyo na cable ya kuweka kwa computer nitapata bei gani best mpaka inifikie mikononi mwangu best
Kampuni yetu inahusika na kuagiza na kuuza vitu vya electronics, computers, laptops, projectors etc. Kutokana ni ngumu kuagiza simu chaguo la kila mteja anayoitaka, tunachukua fursa hii kuwapa nafasi wateja wetu kutoa order ya simu/tablet anayoitaka, alimradi bajeti ya hiyo simu/tablets haizidi 500$.

Kwanini uagize simu/tablet toka usa?
una uhakika na u-orijino wa bidhaa unayoagiza, na pia unapata unafuu wa bei kwa bidhaa husika kulinganisha na ungenunua hapa tz, au na wakat mwingine unachokitaka hakipo kabisa tz.

Utaratibu unakuwaje basi?
weka jina la simu unayoitaka hapo chini, then nitakupa makadirio ya mchanganuo wa gharama wa hiyo simu ukijumlisha shipping mpaka unaipata mkononi. (makadirio ya simu unayoitaka yanaweza badilika wakati wowote)

Search hiyo simu au product kwenye online site yoyote ya Marekani, ebay/amazon/walmart then utupe link, hata wanazoship usa only tutakusaidia kulipia, na kupata hicho kitu in a max time of 3 weeks. (Express shipping by EMS ipo na haichukui not more than 10 days, ukiwa ready tutajadili faida na hasara zake)

sababu ni spesho order, mteja utalipa pesa yote ya simu/tablet in advance, kuepuka kuagiziwa simu inakuja halafu mteja analeta sababu nyingine. Malipo yote yatafanyika ofisni tu, na utapatiwa receipt kama ushahidi wa malipo ya gharama za kuagiza simu.

Kitachofuata ni wewe kusubiri wiki 3 tutakukabidhi simu yako. Zikipita siku 45 toka siku uliyopress order yako hujapata simu yako tutakurudishia pesa yote in full amount.

Simu/tablet ukishaletewa utatulipa 15% ya gharama ya simu/tablet jumlisha shipping kama ujira wetu wa kukuagizia simu, halafu ndipo simu utapatiwa mkononi mwako.

Ofis zetu zipo jengo la RUBADA, Ubungo Shekilango, ni nyuma ya jengo la Ubungo Plaza, baada ya Blue Pearl kuna barabara isiyo na lami inaingia ndani, mbele yako utaona ghorofa la rangi kijani/njano iliyopauka, ground floor ndipo ofisi zetu zilipo.

Changamoto na maswali yanaruhusiwa, but please kama thread haikuhusu save your jokes and non senses for other threads.

Note: Thread hii haifundishi kuagiza simu/product from online site au usa kwa namna yoyote, kama una swali kama hilo hapa sio mahala pake, sitajibu message yoyote wala usinisumbue kwa call ya namna hiyo. Asante

CLEVA TECHNOLOGIES, RUBADA building, Rubada Street, Ubungo Shekilango Box 4238 Dar Es Salaam Phone: 0714-345958 / 0752-858693

Serious clientele send pm or call 0714-345958 / 0752-858693
 
Naitaji simu aina ya Smartphone iliyo na cable ya kuweka kwa computer nitapata bei gani best mpaka inifikie mikononi mwangu best
simu za smartphone nyingi waweza chomeka cable kwenye computer, be specific jina la simu gani kwa maana ya brand name (samsung/nokia/iphone/htc etc) pia na model namba yake.
 
Back
Top Bottom