bornagain
JF-Expert Member
- Jan 25, 2012
- 3,383
- 1,354
Sidhani kama tuko kwenye ligi kaka, mimi kama mimi kwa mtazamo wangu na vigezo vyangu nimejiridhisha kwamba ni mzuri, simwambii wala kumlazimisha mtu yeyote yule kufata msimamo wangu.
Na pia ninaomba niendelee kutolazimishwa na mtu kubadili maamuzi au kuelezea vigezo nilivyovitumia kusema kwamba huyu ni mzuri.
Nimeona list ya usiowapenda, hebu weka ya unaowapenda nayo.
Napenda mwanamke ambae atakuwa opposite na nilichokiandika