Huyu mwanamke ni wa kawaida.. Huko nyuma hata hakuna uwiano sahihi...
Mbona wa kawaida, ina maana mwanamke akiwa na kiuno kidogo na tukunyema kubwa ndo anakuwa ni mzuri? Ama wewe uzuri kwako hasa unautafisiri vipi
Kicheche mmoja hivi hapo dasilamSamahani wadau, ndio nani huyo?
Kabla hii sheria haijasainiwa na Presida, naomba niweke picha ya Agi Masogange nzuri (make huwezi jua baadaye unaweza ukaambiwa umekosea, lipa mil 3 huna jela)!
View attachment 239375
Wewe mpaka mwanamke unasema ni mzuri unakuwa umechukulia vigezo gani, huenda kwa kutumia vigezo vyako mzuri kwako mimi anaweza akawa mbaya ama mrembo kwangu wewe anaweza akawa ni kituko.Mfano mimi sipendi mwanamke mwenye matak0 makubwa, sipendi mwanamke mwembamba wala mnene, sipendi mwanamke mweupe wala maji ya kunde, sipendi mwanamke mwenye vigimbi, sipendi mwanamke mwenye sauti nyororo, sipendi mwanamke ambae anaska ama anaenda aluni kuwekwa dawa sipendi mwanamke anaevaa wigi,sipndi mwanamke anaepandabodaoda hata km anawahi mwaliko wa ikuluMkuu nimesema niweke picha nzuri, ila wewe umeona kama nimesema mzuri! Tofautisha vitu hapo, uzuri wa picha na uzuri wa mtu!
BTW, kutokuwa mnafiki, mimi namwona ni mzuri.
Acheni unafiki kwa nyie mlioandika masongange akikuzimia utamkataa? Maana ushasema wa kawaida maisha bila unafiki hayaendi
Sidhani kama tuko kwenye ligi kaka, mimi kama mimi kwa mtazamo wangu na vigezo vyangu nimejiridhisha kwamba ni mzuri, simwambii wala kumlazimisha mtu yeyote yule kufata msimamo wangu.Wewe mpaka mwanamke unasema ni mzuri unakuwa umechukulia vigezo gani, huenda kwa kutumia vigezo vyako mzuri kwako mimi anaweza akawa mbaya ama mrembo kwangu wewe anaweza akawa ni kituko.Mfano mimi sipendi mwanamke mwenye matak0 makubwa, sipendi mwanamke mwembamba wala mnene, sipendi mwanamke mweupe wala maji ya kunde, sipendi mwanamke mwenye vigimbi, sipendi mwanamke mwenye sauti nyororo, sipendi mwanamke ambae anaska ama anaenda aluni kuwekwa dawa sipendi mwanamke anaevaa wigi,sipndi mwanamke anaepandabodaoda hata km anawahi mwaliko wa ikulu