Hata mimi namkubali sana. wamemtema tu kwa kuichukia ccm hao wamangi lakini mwanri ni mtendaji mwenye tija kubwa serikalini. inaonekana anafaa kuitumikia serikali yenye kaulimbiu 'hapa kazi tu'Ni mmoja wa wasimamizi ninaowakubali kinoma. Yuko wapi huyu jamaa? Hana nafasi ya kuwa kwenye baraza la mawaziri?
Hata mimi namkubali sana. wamemtema tu kwa kuichukia ccm hao wamangi lakini mwanri ni mtendaji mwenye tija kubwa serikalini. inaonekana anafaa kuitumikia serikali yenye kaulimbiu 'hapa kazi tu'
mwari ni jembe huko siha wameshaanza kumlilia , upepo wa lowasa umewapitia wamasai , bila ya kujielewa wakamchagua moleli kwa kuwa ni mmasai mwenzao , yaan rais mmasai , na mbunge mmasai na madiwan wamasai , kwa sasa ndio wanaongoza halmashauri , tusubiri tuone hatma yao
Mkuu mmenikatisha tamaa nilikuwa namkubali sn hasa anapojibu masuali ya wabunge..
haya meku,.. ila picha tuliyokua nayo ni mchapakazi sasa nyie ndio alikua mtu wenu ndio mnajua zaidi.Huyu jamaa kama ni mtendaji bas ccm haina watendaji kabisa.......Huyu mpiga dili ungejua,mateso wanasiha wanayopata usingesema.....huyu alikuwa dalali wa ccm....wa kuza ardha ya siha .....kwa wawekezaji ....wananchi wanaishi kwenye makorongo...hawana ardhi yy nawenzake wa ccm wanaenda uchina na ulaya kutafuta wanunuzi.....wachaga wamemkataaa....
haya meku,.. ila picha tuliyokua nayo ni mchapakazi sasa nyie ndio alikua mtu wenu ndio mnajua zaidi.
Ni mmoja wa wasimamizi ninaowakubali kinoma. Yuko wapi huyu jamaa? Hana nafasi ya kuwa kwenye baraza la mawaziri?
mwari ni jembe huko siha wameshaanza kumlilia , upepo wa lowasa umewapitia wamasai , bila ya kujielewa wakamchagua moleli kwa kuwa ni mmasai mwenzao , yaan rais mmasai , na mbunge mmasai na madiwan wamasai , kwa sasa ndio wanaongoza halmashauri , tusubiri tuone hatma yao
mwari ni jembe huko siha wameshaanza kumlilia , upepo wa lowasa umewapitia wamasai , bila ya kujielewa wakamchagua moleli kwa kuwa ni mmasai mwenzao , yaan rais mmasai , na mbunge mmasai na madiwan wamasai , kwa sasa ndio wanaongoza halmashauri , tusubiri tuone hatma yao
Tunakosea sana kumng'ang'ania mtu mmoja kana kwamba hakuna wengine wenye uwezo zaidi yake.Magufuli amfanye kuwa mbunge wa kuteuliwa. Mwanri ni one of efficient taskforces.,; asimwache.
Kwa kauli hyo umedharau wamasai kua hawawez kuongoza hvi wao wana kosa gani jamani??? Kuna tofauti gani ya walichokifanya watu wa geita,simiyu na shinyanga na hao wamasai?? Magufuli asingekazana kuomba kura kisukuma huend yasingetokea pia!!! Msilaumu upande mmoja nilikua namsikia sana magufuli anasema " mtanyima mm kura wa hukuhku??" Wa nyumbani kabisa na babu yangu amezikwa hapahapa??? Na wao waliona wampe wa kwao si mcheza kwao hutunzwa??? Wasukuma nao wamempa msukuma ubunge,urais na madiwan!! Pole sana Mwanri I'm gonna miss ur deep voice tho!
Sheee!!!!! Yeroh!!!! Wew unaishi siha ya wap au umeamia nin ,upatikanaji tu wa hii wilaya ,kutoka hai ni juhudi za mwandri ,achilia mbalia uapatikanaji uasambazwaji wa umeme huduma za afya na maji huko vijijini ,huyu dogo kasambaza chuki za kikabilia ili achuguliwe na wamasai walio wengi,kupitia mgongo wa lowasa
Mollel aliyemtoa Mwanri, ni Boya. Katumia ujinga wa wamasaai na ukabila kwani Sia 70% ni wamasai. Molell hamna kitu he is good 4 nothing....! Mwanri anafaa wait!
mwari ni jembe huko siha wameshaanza kumlilia , upepo wa lowasa umewapitia wamasai , bila ya kujielewa wakamchagua moleli kwa kuwa ni mmasai mwenzao , yaan rais mmasai , na mbunge mmasai na madiwan wamasai , kwa sasa ndio wanaongoza halmashauri , tusubiri tuone hatma yao
Mwanri hawafai watu wa siha ndiomaana wamempiga chini.
Punguza jazba heshimu maamuzi ya wapiga kura.