Ni mmoja wa wasimamizi ninaowakubali kinoma. Yuko wapi huyu jamaa? Hana nafasi ya kuwa kwenye baraza la mawaziri?
Bado Anatafakari Ameshindwaje Ubunge.
GENTAMYCINE msiwe na hofu huku tunazidisha maombi kwa Jembe km hiloBado Anatafakari Ameshindwaje Ubunge.
mwari ni jembe huko siha wameshaanza kumlilia , upepo wa lowasa umewapitia wamasai , bila ya kujielewa wakamchagua moleli kwa kuwa ni mmasai mwenzao , yaan rais mmasai , na mbunge mmasai na madiwan wamasai , kwa sasa ndio wanaongoza halmashauri , tusubiri tuone hatma yao
mwari ni jembe huko siha wameshaanza kumlilia , upepo wa lowasa umewapitia wamasai , bila ya kujielewa wakamchagua moleli kwa kuwa ni mmasai mwenzao , yaan rais mmasai , na mbunge mmasai na madiwan wamasai , kwa sasa ndio wanaongoza halmashauri , tusubiri tuone hatma yao
mwari ni jembe huko siha wameshaanza kumlilia , upepo wa lowasa umewapitia wamasai , bila ya kujielewa wakamchagua moleli kwa kuwa ni mmasai mwenzao , yaan rais mmasai , na mbunge mmasai na madiwan wamasai , kwa sasa ndio wanaongoza halmashauri , tusubiri tuone hatma yao
Hivi nyie MAGAMBA msipozungumzia ukabila mnaona hamjacoment ?! Inaboa sana
Kwa kauli hyo umedharau wamasai kua hawawez kuongoza hvi wao wana kosa gani jamani??? Kuna tofauti gani ya walichokifanya watu wa geita,simiyu na shinyanga na hao wamasai?? Magufuli asingekazana kuomba kura kisukuma huend yasingetokea pia!!! Msilaumu upande mmoja nilikua namsikia sana magufuli anasema " mtanyima mm kura wa hukuhku??" Wa nyumbani kabisa na babu yangu amezikwa hapahapa??? Na wao waliona wampe wa kwao si mcheza kwao hutunzwa??? Wasukuma nao wamempa msukuma ubunge,urais na madiwan!! Pole sana Mwanri I'm gonna miss ur deep voice tho!
mwari ni jembe huko siha wameshaanza kumlilia , upepo wa lowasa umewapitia wamasai , bila ya kujielewa wakamchagua moleli kwa kuwa ni mmasai mwenzao , yaan rais mmasai , na mbunge mmasai na madiwan wamasai , kwa sasa ndio wanaongoza halmashauri , tusubiri tuone hatma yao
Mollel aliyemtoa Mwanri, ni Boya. Katumia ujinga wa wamasaai na ukabila kwani Sia 70% ni wamasai. Molell hamna kitu he is good 4 nothing....! Mwanri anafaa wait!
Huyu jamaa yupo vizuri....namfahamu miaka mingi tangu tukiwa chuo cha ccm Kivukoni .