GE2025 Agenda ya Wananchi katika uchaguzi sio katiba bali ni maswala ya Elimu,Maradhi na Umasikini

GE2025 Agenda ya Wananchi katika uchaguzi sio katiba bali ni maswala ya Elimu,Maradhi na Umasikini

Matukio, Taarifa, Habari na Mijadala ya Wananchi WAKATI wa Mchakato wa Uchaguzi Mkuu 2025

funaku

JF-Expert Member
Joined
Oct 12, 2011
Posts
38,534
Reaction score
31,198
Bado kama Taifa yatupasa kuakisi agenda muhimu za uchaguzi.

Kwangu mimi bado narejea katika agenda mama ma za msingi zilizowahi kusemwa mara baada ya kuoata uhuru.

Bado kama Taifa hatujakamilisha kwa kiwango stahiki utekelezaji wa agenda na maono haya muhimu yaliyowahi kutajwa miaka hiyo wakati uhuru unatafutwa na baada ya uhuru kupatikana.

Bado tunaidai CCM na vyama pinzani kuhusu mipango na utekekezaji wa mipango iliyowahi kuwekwa kukabili maadui hawa watatu.

Kamwe siamini kama kikwazo cha kuzifikia agenda hizi ni katiba la hasha bali ni mikakati endelevu tena isiyobadilishwa au kuyumbishwa na mabadiliko katika sayansi na teknolojia.

Upo mfano muhimu sana wa namna gani tukiamua kusimamia roadmap iliyowekwa na waasisi wa Taifa tunaweza kufika mbali sana...

Magufuli alianzisha ujenzi wa bwawa la Nyerere na leo hii changamoto ya umeme imekuwa ni historia.
Tembelea kila mji utakuta zone za viwanda (bado hatujavifanyia kazi )

Tembelea kila sehemu utakutana na Shule za sekondari ,vyuo vya kati na vyuo vikuu vilivyowekwa kimkakati.
Hizi ndio hoja muhimu za kuibinya ccm ili zitekekezwe kikamilifu.

Ni bahati mbaya sana kuona vyama vya upinzani vinakuja na kutaka kututoa kwenye agenda msingi na kutaka tucopy usanii wa walami.

In this case therefore we need to reserve the conservative party such as CCM ili kuona matokeo ya kile waasisi wetu walichokiona na kutabiri kinatokea.

Bado kwa mfano hatujafanikiwa kuleta tija ya mkulima wa kawaida ...

Bado hatujamaliza kumfanya indegenious apate elimu yenye tija na bado hatujakamilisha kuona mwanakijiji anapata huduma bora ya afya alipo na kwa gharama nafuu pale alipo .
Bado hatujamjaza mapesa (Namkumbuka CHEYO) nwananchi.

My ambition and expectation ni kuona Chama nguli na mwanasiasa machachari akiibua hoja hizi anapopambana na CCM,Badala yake wanaibuka vibaraka wa walami na kutaka kutuletea agenda mpya zisizo na mashiko katika maisha yetu ...very sad.

Bottom line...Vyama vya siasa vijikite kwenye mjadala,mipango na maono yanayolenga misingi muhimu ya kuanzishwa kwa Taifa la Tanzania.

CCM ipongezwe au izodolewe katika muktadha huo na sio muktadha wa AI.

KWA HISANI YA MTU WA TANZANIA!
 
Agenda ya Wananchi katika uchaguzi sio katiba bali ni maswala ya Elimu,Maradhi na Umasikini
Bahati mbaya wanaopewa jukumu la kisimamia agenda ya elimu, maradhi na umasikini hawateremki kutoka hewani, bali wanapatikana kwa mujibu wa katiba!
 
Tuihukumu CCM Katika muktadha ikiyowahi ku-set.

Elimu:
CCM Imewekeza kwenye Elimu kisera na kiutekekezaji.Tutafute gaps wapi haijafanya vyema na tuikosoe na kuichapa kisawasawa.
Mfano Elimu bure hadi form six.Mikopo vyuo vikuu na vyuo vya kati.
Sasa tuihoji kuhusu ubora wa elimu na mitaala na miundombinu na tija ya wanaohitimu...Kwangu mimi hii ni fair challange.

AFYA/MARADHI
CCM imejenga miundombinu ya Afya kila kona..hapa unaongelea miundimbinu ya afya msingi,afya za kibingwa na bingwa bobezi.
Tuiohoji CCM kuhusu affordability na upatikanaji kwa usawa wa huduma bora za afya....for me this is just another fair challange.
UMASIKINI
CCM imeendelea kuchechemua njia za uchumi hata hivyo bado tuna proportion kubwa ya wananchi wanaotegemea kilimo, Je CCM imefanya lolote jipya au inakuja na jipya gani kwa wakulima sio wale wa Mashamba makubwa tu bali wale wa ekari moja?
Hili ni eneo jingine la kuihoji CCM .
Biashara
CCM imeendelea kufungua fursa za kibiashara ...Je wafanyabiashara wetu wanao uwezo wa kushindana au kupeleka bidhaa nje??
This is just another angle ya kuihoji CCM.
BY AND LARGE BADO Hatujawa na wapinzani halisi wanaotembea na agenda msingi na badala yake wanaibuka vibaraka wa mabeberu ambapo mimi nitaunga mkono sana wakipigwa pin kisawasawa.

KWA HISANI YA MTU WA TANZANIA!
 
Ajira Ajira Ajira. Ufisadi hadi lini!
Upo sahihi ...baada ya Sera ya Elimu bure na Sera ya mikopo kwa wanafunzi kumetokea wahitimu wengi mtaani.
Ni wengi wamehitimu na wamejiajiri kwenye bodaboda,bajaji na uwinga kariakoo.
ndio maana narejea kwenye hija yangu kuwa tuidai CCM vitu vya msingi ikiwemo ajira kwa wahitimu.wewe kama mimi tunao ndugu ,jamaa ,watoto na majirani zetu ambao tumewasaidia wasome ila bado hawana ajira basi muda huu wa uchaguzi ni wakati sahihi wa kuwahoji watia nia wote ni namna gani maafisa usafirishaji wataondoka kwenye boda boda na bajaji na wakaingia kwenye ajira walizosomea??
ni wakati wa kuchagua wabunge au madiwani wenye maono na innovation za kuwatoa vijana wetu huko walipo.
kamwe tusijikite kwenye siasa ovu za kudhalilisha serikali au viongozi bali tuwabane vilivyo kwa hoja na watupe mipango sahihi na dhahiri huko huko kwenye maeneo yetu.
Usipo shiriki huu mchakato wa Uchaguzi atashiriki mwingine na matakwa yako hayataingia kwenye agenda za Taifa na yasipoingia hayatafanyiwa kazi..
Tuibane CCM kupitia mfumo rasmi na kamwe tusijaribu kuingiza mtu au taasisi kwa mihemko kwani mtu huyo au taasisi hiyo haitokuwa na mkataba nasi na atafanya au itafanya itakavyo.
 
Bado kama Taifa yatupasa kuakisi agenda muhimu za uchaguzi.

Kwangu mimi bado narejea katika agenda mama ma za msingi zilizowahi kusemwa mara baada ya kuoata uhuru.

Bado kama Taifa hatujakamilisha kwa kiwango stahiki utekelezaji wa agenda na maono haya muhimu yaliyowahi kutajwa miaka hiyo wakati uhuru unatafutwa na baada ya uhuru kupatikana.

Bado tunaidai CCM na vyama pinzani kuhusu mipango na utekekezaji wa mipango iliyowahi kuwekwa kukabili maadui hawa watatu.

Kamwe siamini kama kikwazo cha kuzifikia agenda hizi ni katiba la hasha bali ni mikakati endelevu tena isiyobadilishwa au kuyumbishwa na mabadiliko katika sayansi na teknolojia.

Upo mfano muhimu sana wa namna gani tukiamua kusimamia roadmap iliyowekwa na waasisi wa Taifa tunaweza kufika mbali sana...

Magufuli alianzisha ujenzi wa bwawa la Nyerere na leo hii changamoto ya umeme imekuwa ni historia.
Tembelea kila mji utakuta zone za viwanda (bado hatujavifanyia kazi )

Tembelea kila sehemu utakutana na Shule za sekondari ,vyuo vya kati na vyuo vikuu vilivyowekwa kimkakati.
Hizi ndio hoja muhimu za kuibinya ccm ili zitekekezwe kikamilifu.

Ni bahati mbaya sana kuona vyama vya upinzani vinakuja na kutaka kututoa kwenye agenda msingi na kutaka tucopy usanii wa walami.

In this case therefore we need to reserve the conservative party such as CCM ili kuona matokeo ya kile waasisi wetu walichokiona na kutabiri kinatokea.

Bado kwa mfano hatujafanikiwa kuleta tija ya mkulima wa kawaida ...

Bado hatujamaliza kumfanya indegenious apate elimu yenye tija na bado hatujakamilisha kuona mwanakijiji anapata huduma bora ya afya alipo na kwa gharama nafuu pale alipo .
Bado hatujamjaza mapesa (Namkumbuka CHEYO) nwananchi.

My ambition and expectation ni kuona Chama nguli na mwanasiasa machachari akiibua hoja hizi anapopambana na CCM,Badala yake wanaibuka vibaraka wa walami na kutaka kutuletea agenda mpya zisizo na mashiko katika maisha yetu ...very sad.

Bottom line...Vyama vya siasa vijikite kwenye mjadala,mipango na maono yanayolenga misingi muhimu ya kuanzishwa kwa Taifa la Tanzania.

CCM ipongezwe au izodolewe katika muktadha huo na sio muktadha wa AI.

KWA HISANI YA MTU WA TANZANIA!
Akili ni mali aisee kuliko mali yoyote Duniani ,kwamba nawe upo na watu wanaokusikilza sio!
 
Akili ni mali aisee kuliko mali yoyote Duniani ,kwamba nawe upo na watu wanaokusikilza sio!
Sijakuelewa Mkuu.Kwani mimi nimekwambia nipo sehemu nahutubia?nini kinakufanya useme nina watu wanaonisikiliza?
Rudi kwenye mada na uje na hoja kinzani kistaarabu tu.
 
Sijakuelewa Mkuu.Kwani mimi nimekwambia nipo sehemu nahutubia?nini kinakufanya useme nina watu wanaonisikiliza?
Rudi kwenye mada na uje na hoja kinzani kistaarabu tu.
Akili nimali mkuu ,nyimwa vyote ila kuwa na akili .
 
Nini maana ya akili ,tuanzie hapa kwanza mkuu
Intelligence is the ability to think, understand, communicate, learn, plan , and solve problems. It is the knowledge within the human brain that can even distinguish between good and bad and ultimately guide one in making decisions.

Although intelligence is generally used in relation to humans, some animals such as chimpanzees , bonobos , dogs [ 1 ] etc. and even plants [ 2 ] [ 3 ] have some signs of intelligence.

Nimekuwekea hii definition ya akili kutoka google.
 
Intelligence is the ability to think, understand, communicate, learn, plan , and solve problems. It is the knowledge within the human brain that can even distinguish between good and bad and ultimately guide one in making decisions.

Although intelligence is generally used in relation to humans, some animals such as chimpanzees , bonobos , dogs [ 1 ] etc. and even plants [ 2 ] [ 3 ] have some signs of intelligence.

Nimekuwekea hii definition ya akili kutoka google.
Sasa unaenda Al kufanya ,nini mkuu jibu kwa ulewa wako , achana na mjibu ya maroboti
 
Sasa unaenda Al kufanya ,nini mkuu jibu kwa ulewa wako , achana na mjibu ya maroboti
Usiulize maswali yenye majibu ...Iam not here to invent new answers to older questions.
 
Back
Top Bottom