Eliya Konzo
Senior Member
- Dec 9, 2012
- 100
- 56
5 hadi kumi mwanaume umzidi mwanamke
Jamani chukueni wanawake mnao lingana umri au waliowazidi kwa sababu
- wanawake wanaishi muda mrefu kuliko wanaume... So ukimchukua aliyekuzidi kidogo mtakufa atleast the same year
- mnalinda heshima zenu kwa vibinti vidogo
- mtachukuliwa kama watoto wa wake zenu so cio rahisi kuwa disobey
- hakutakua na friction ya kutosha kusababisha maambukizi
- mkeo hatahangaika kutafta damu changa as long as upo ndani
- atawahi kupoteza uwezo wa kuzaa so utapunguza gharama za contraceptives
- utakua umewaacha mabinti wadogo kwa vijana wadogo