mshana jr hili nàona kama fumbo LA imani.
Je ni nini hasara za agano hili?
Je hili ni agano kati ya mtu na nani?
Pia najua kwenye agano kuna sadaka, sadaka gani hulewa kwenye agano hili?
mshana jr hili nàona kama fumbo LA imani.
Je ni nini hasara za agano hili?
Je hili ni agano kati ya mtu na nani?
Pia najua kwenye agano kuna sadaka, sadaka gani hulewa kwenye agano hili?
mshana jr;
Umekuwa ukitujuza mengi sana ya huko gizani ila leo. Naona ka ulitutwaa ukatutupa kati ya msitu na kutuacha huko tujitafutie wenyewe.
Hii kitu kufanywaje?
Hufanywa na nani?
Muda gani na wapi?
And what are the lost here? Yu need to define man. Not everything that was lost can be recovered. Ndo maana mswahili akasema :Kikipotea sahau".
mshana jr hili nàona kama fumbo LA imani.
Je ni nini hasara za agano hili?
Je hili ni agano kati ya mtu na nani?
Pia najua kwenye agano kuna sadaka, sadaka gani hulewa kwenye agano hili?
Hasara ya agano hili Bujibuji ni kwamba halina baraka za kimungu
Hili ni agano la mtu aliyepoteza kitu na nguvu nyingine nje ya Mungu
Hapa si lazima sadaka bali kuna maapizi