Afya yangu yazidi kunichanganya

hujawai kuumwa au kuuguliwa hivyo kwako ni vyema kabisa kuendelea kukazia.Siku ile utajua kuwa sayansi iliyopo duniani hapa kuna wakati haiwezi ponyesha hata kidonda achilia mbali kilimi siku hiyo ndipo akili zitakaa sawa ukiona una rest in peace
 
Nlikuwa na aleji kama Yako mkuu,na mm mbali na mafuta,vumbi na moshi nakohoa balaa,wakanishauri nikate kilimi nikagoma,nkaona wht the hell nkaanza vuta Sigara Kali,wiki mbili nlikohoa balaa ila mpaka Leo kukohoa Napaskia
 
issue ya kukonda inaweza kuchangiwa Sana na mawazo ,Kwa muda ambao umeanza kugundua kuwa una tatizo ambalo sio la kawaida in ur body function .


Wakati wataalamu wakikupa ushauri mbalimbali Ebu Fanya self-healing Kwa Ku-declare kwamba umepona hapa utaruhusu nguvu ya mwili kuanza kupokea mabadiliko ya kupona kutokana na -dawa au matibabu ambayo yatakuwa recommended.

Get well soon
 
Msaada na mm jamani wanajamvi ndugu yangu anasota na ugonjwa wa kukaukiw ute unaopelekea maumivu kwa joint na kuvimba..mwanzo ilikuwa mguuni akatumia dawa za hospital na kienyeji kujaribu hivo hivo akapona,ss issue imehamia mikononi ss ,tushatumia madawa ya hospital, za kikorea kienyeji tiba mbadala nyama kaacha sindano kachomwa anapata nafuu na kupona wiki 2 issue inarudi pale pale bado ugonjwa unasumbua .. hospital wanasema uric acid nyingi. Lkn ashaacha vykula vinavyoongeza uric ..jamani kwa yyte aliyewahi kutana na changamoto kama hiyo alihandle vipi issue kama hiyo alitumia dawa gani?msaada tafadhalini wanajamvi maana naona ilipelekea kupata magonjwa mengine kama pressure na sugar kwa kutumia madawa ya kutuliza maumivu kwa mda mrefu..
 
Nielekeze mkuu
Dr. Onesmo, Kitengule Hospital, iko Tegeta Kibaoni.

Huyu ni mtaalam wa ENT.
0655969303

Unaweza kumpigia, mpe maelezo then atakushsuri eidha uende au akuelrkeze sehemu sahihi, huyu jamaa ni wa msaada sana.
Tatizo ana foleni ya watu wengi mnoo
 
Pia jaribu kula vitunguu swaumu punje tatu asubhi mchana na jioni zile za kienyeji kama ni aleji utapona mda mfupi.
 
Wana JF habali za wakati huu natumaini nyote ni wazima wa afya, na wale ambao hamjisikii poa Mungu atawasaidia. Miim ni mzima wa afya japo sio sana, namshukuru Mungi hivyo hivyo.

Nimekuwa nikisumbuliwa na kikohozi cha miaka nenda rudi hakiponi. Nakohoa muda wote, mchana na usiku ila hasa usiku. Nakohoa sana hasa nikipata njaa kikohozi kinaambatana na makohozi mazito na muda wote napata maumivu ya tumbo na kikohozi mfululizo nihisipo njaa.

Nakohoa sana hasa ninapokula vyakula vyenye protini na fati kama vile;
  • Nyama
  • Samaki
  • Kalanga
  • Maharagwe
  • Dagaa, nk

Na vyakula vinavyopikiwa mafuta mengi kama vile;

  • Chapati
  • Mandazi, nk

Kiufupi vyakula vyote vyenye mafuta ndani yake vinanipa tabu, nimefikia wakati nimeacha kabisa kuvitumia lakini nimekonda sana hata kama nikitumia hivyo vyakula, so kwamba afya inakua njema, hapana nabaki nimekonda vile vile.

Nishapima;
  • X-ray zaid ya mala 4 lakini negative
  • Makohozi yakuotesha negative
  • HIV - negative
  • Limonea - negative pamoja na magonjwa mengine

Nilishawahi kunywa dawa nyingi sana za kisasa na za kienyeji lakini sijafanikiwa kupata kupona, nishakunywa tangawizi sana lakini bado, nishakula sana matunda, mbogamboga za kutosha nikidhani labda nitapata unafuu lakini 0, nishakunywa sana asali tena ile mbichi kabisa asubuhi, mchana na jioni kabla ya kula lakini 0, nakunywa maji mengi sana lakini 0!

Sijawah kuvuta sigara, sijawah kutumia kilevi cha aina yoyote toka nizaliwe. Yaan jamani sijui nisemeje tu. vitu vingi sana nishavifanya ili kuepukana na kikohozi hiki sugu lakini sijafanikiwa.

Jaman naomben ushauri, kikohozi gani hiki kisichosikia dawa? Kinanitesa sana siko huru.
Nenda Ekenywa pale ndo aanaspecialiat wataangalia hadi ndani ya kifua
 
Imeisha miaka kumi sasa niko nahili tatizo

Nimefanyiwa xrey za kifuan katika hospital za serikal na binaf
Badilisha hospita na uonane na specialist. Mara nyingine unaweza kupitia hospital na kwa madakta wengi kabla tatizo halijagundulika.
 
Pole sana sana
Kuna wakati mwingine tunashuku na kudhani labda ni chakula au karanga unakuwa navyo na allergies ila unaweza kukuta sivyo kabisa
Labda ni sabuni ya Unga unayotumia kwa kufulia nguo zako
Au inaweza kuwa godoro unalolalia pia
Hebu usitumie sabuni ya Unga badala yake tumia ya kawaida, na kama una bedding zote badili anza na zingine
Labda ungeanza na hizo za kitanda labda mchawi ni sabuni
 
Wana JF habali za wakati huu natumaini nyote ni wazima wa afya, na wale ambao hamjisikii poa Mungu atawasaidia. Miim ni mzima wa afya japo sio sana, namshukuru Mungi hivyo hivyo.

Nimekuwa nikisumbuliwa na kikohozi cha miaka nenda rudi hakiponi. Nakohoa muda wote, mchana na usiku ila hasa usiku. Nakohoa sana hasa nikipata njaa kikohozi kinaambatana na makohozi mazito na muda wote napata maumivu ya tumbo na kikohozi mfululizo nihisipo njaa.

Nakohoa sana hasa ninapokula vyakula vyenye protini na fati kama vile;
  • Nyama
  • Samaki
  • Kalanga
  • Maharagwe
  • Dagaa, nk

Na vyakula vinavyopikiwa mafuta mengi kama vile;

  • Chapati
  • Mandazi, nk

Kiufupi vyakula vyote vyenye mafuta ndani yake vinanipa tabu, nimefikia wakati nimeacha kabisa kuvitumia lakini nimekonda sana hata kama nikitumia hivyo vyakula, so kwamba afya inakua njema, hapana nabaki nimekonda vile vile.

Nishapima;
  • X-ray zaid ya mala 4 lakini negative
  • Makohozi yakuotesha negative
  • HIV - negative
  • Limonea - negative pamoja na magonjwa mengine

Nilishawahi kunywa dawa nyingi sana za kisasa na za kienyeji lakini sijafanikiwa kupata kupona, nishakunywa tangawizi sana lakini bado, nishakula sana matunda, mbogamboga za kutosha nikidhani labda nitapata unafuu lakini 0, nishakunywa sana asali tena ile mbichi kabisa asubuhi, mchana na jioni kabla ya kula lakini 0, nakunywa maji mengi sana lakini 0!

Sijawah kuvuta sigara, sijawah kutumia kilevi cha aina yoyote toka nizaliwe. Yaan jamani sijui nisemeje tu. vitu vingi sana nishavifanya ili kuepukana na kikohozi hiki sugu lakini sijafanikiwa.

Jaman naomben ushauri, kikohozi gani hiki kisichosikia dawa? Kinanitesa sana siko huru.
kakate kilimi mkuu utapona
 
VITU vya kuchunguza kabla ya tiba ni kaulimi.iwapo kaulimi ni karefu hata utumie dawa vipi ni ngumu lazima uende hospital na ukate.
- mbili chunguza minyoo nayo huwa inazingua
-tatu chunguza kifua.nenda hospital kubwa usiogepe gharama
Mwisho kukaa na ugonjwa muda mrefu ni vyanzo vya magonjwa mengine
 
Wana JF habali za wakati huu natumaini nyote ni wazima wa afya, na wale ambao hamjisikii poa Mungu atawasaidia. Miim ni mzima wa afya japo sio sana, namshukuru Mungi hivyo hivyo.

Nimekuwa nikisumbuliwa na kikohozi cha miaka nenda rudi hakiponi. Nakohoa muda wote, mchana na usiku ila hasa usiku. Nakohoa sana hasa nikipata njaa kikohozi kinaambatana na makohozi mazito na muda wote napata maumivu ya tumbo na kikohozi mfululizo nihisipo njaa.

Nakohoa sana hasa ninapokula vyakula vyenye protini na fati kama vile;
  • Nyama
  • Samaki
  • Kalanga
  • Maharagwe
  • Dagaa, nk

Na vyakula vinavyopikiwa mafuta mengi kama vile;

  • Chapati
  • Mandazi, nk

Kiufupi vyakula vyote vyenye mafuta ndani yake vinanipa tabu, nimefikia wakati nimeacha kabisa kuvitumia lakini nimekonda sana hata kama nikitumia hivyo vyakula, so kwamba afya inakua njema, hapana nabaki nimekonda vile vile.

Nishapima;
  • X-ray zaid ya mala 4 lakini negative
  • Makohozi yakuotesha negative
  • HIV - negative
  • Limonea - negative pamoja na magonjwa mengine

Nilishawahi kunywa dawa nyingi sana za kisasa na za kienyeji lakini sijafanikiwa kupata kupona, nishakunywa tangawizi sana lakini bado, nishakula sana matunda, mbogamboga za kutosha nikidhani labda nitapata unafuu lakini 0, nishakunywa sana asali tena ile mbichi kabisa asubuhi, mchana na jioni kabla ya kula lakini 0, nakunywa maji mengi sana lakini 0!

Sijawah kuvuta sigara, sijawah kutumia kilevi cha aina yoyote toka nizaliwe. Yaan jamani sijui nisemeje tu. vitu vingi sana nishavifanya ili kuepukana na kikohozi hiki sugu lakini sijafanikiwa.

Jaman naomben ushauri, kikohozi gani hiki kisichosikia dawa? Kinanitesa sana siko huru.
Ebu nenda kawe kwa Mwamposa, halafu uje utoe ushuhuda. Kwa kuwa ni bure hakuna hasara.
 
Nlikuwa na aleji kama Yako mkuu,na mm mbali na mafuta,vumbi na moshi nakohoa balaa,wakanishauri nikate kilimi nikagoma,nkaona wht the hell nkaanza vuta Sigara Kali,wiki mbili nlikohoa balaa ila mpaka Leo kukohoa Napaskia
Ko na nam nijalibu kuvuta !! ?
 
Dr. Onesmo, Kitengule Hospital, iko Tegeta Kibaoni.

Huyu ni mtaalam wa ENT.
0655969303

Unaweza kumpigia, mpe maelezo then atakushsuri eidha uende au akuelrkeze sehemu sahihi, huyu jamaa ni wa msaada sana.
Tatizo ana foleni ya watu wengi mnoo
Nashukuru sana mkuu
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom