Afya yangu yazidi kunichanganya

Pishor77

Member
May 16, 2023
23
14
Wana JF habali za wakati huu natumaini nyote ni wazima wa afya, na wale ambao hamjisikii poa Mungu atawasaidia. Miim ni mzima wa afya japo sio sana, namshukuru Mungi hivyo hivyo.

Nimekuwa nikisumbuliwa na kikohozi cha miaka nenda rudi hakiponi. Nakohoa muda wote, mchana na usiku ila hasa usiku. Nakohoa sana hasa nikipata njaa kikohozi kinaambatana na makohozi mazito na muda wote napata maumivu ya tumbo na kikohozi mfululizo nihisipo njaa.

Nakohoa sana hasa ninapokula vyakula vyenye protini na fati kama vile;
  • Nyama
  • Samaki
  • Kalanga
  • Maharagwe
  • Dagaa, nk

Na vyakula vinavyopikiwa mafuta mengi kama vile;

  • Chapati
  • Mandazi, nk

Kiufupi vyakula vyote vyenye mafuta ndani yake vinanipa tabu, nimefikia wakati nimeacha kabisa kuvitumia lakini nimekonda sana hata kama nikitumia hivyo vyakula, so kwamba afya inakua njema, hapana nabaki nimekonda vile vile.

Nishapima;
  • X-ray zaid ya mala 4 lakini negative
  • Makohozi yakuotesha negative
  • HIV - negative
  • Limonea - negative pamoja na magonjwa mengine

Nilishawahi kunywa dawa nyingi sana za kisasa na za kienyeji lakini sijafanikiwa kupata kupona, nishakunywa tangawizi sana lakini bado, nishakula sana matunda, mbogamboga za kutosha nikidhani labda nitapata unafuu lakini 0, nishakunywa sana asali tena ile mbichi kabisa asubuhi, mchana na jioni kabla ya kula lakini 0, nakunywa maji mengi sana lakini 0!

Sijawah kuvuta sigara, sijawah kutumia kilevi cha aina yoyote toka nizaliwe. Yaan jamani sijui nisemeje tu. vitu vingi sana nishavifanya ili kuepukana na kikohozi hiki sugu lakini sijafanikiwa.

Jaman naomben ushauri, kikohozi gani hiki kisichosikia dawa? Kinanitesa sana siko huru.
 
Wana JF habali za wakati huu natumaini nyote ni wazima wa afya, na wale ambao hamjisikii poa Mungu atawasaidia. Miim ni mzima wa afya japo sio sana, namshukuru Mungi hivyo hivyo.

Nimekuwa nikisumbuliwa na kikohozi cha miaka nenda rudi hakiponi. Nakohoa muda wote, mchana na usiku ila hasa usiku. Nakohoa sana hasa nikipata njaa kikohozi kinaambatana na makohozi mazito na muda wote napata maumivu ya tumbo na kikohozi mfululizo nihisipo njaa.

Nakohoa sana hasa ninapokula vyakula vyenye protini na fati kama vile;
  • Nyama
  • Samaki
  • Kalanga
  • Maharagwe
  • Dagaa, nk

Na vyakula vinavyopikiwa mafuta mengi kama vile;

  • Chapati
  • Mandazi, nk

Kiufupi vyakula vyote vyenye mafuta ndani yake vinanipa tabu, nimefikia wakati nimeacha kabisa kuvitumia lakini nimekonda sana hata kama nikitumia hivyo vyakula, so kwamba afya inakua njema, hapana nabaki nimekonda vile vile.

Nishapima;
  • X-ray zaid ya mala 4 lakini negative
  • Makohozi yakuotesha negative
  • HIV - negative
  • Limonea - negative pamoja na magonjwa mengine

Nilishawahi kunywa dawa nyingi sana za kisasa na za kienyeji lakini sijafanikiwa kupata kupona, nishakunywa tangawizi sana lakini bado, nishakula sana matunda, mbogamboga za kutosha nikidhani labda nitapata unafuu lakini 0, nishakunywa sana asali tena ile mbichi kabisa asubuhi, mchana na jioni kabla ya kula lakini 0, nakunywa maji mengi sana lakini 0!

Sijawah kuvuta sigara, sijawah kutumia kilevi cha aina yoyote toka nizaliwe. Yaan jamani sijui nisemeje tu. vitu vingi sana nishavifanya ili kuepukana na kikohozi hiki sugu lakini sijafanikiwa.

Jaman naomben ushauri, kikohozi gani hiki kisichosikia dawa? Kinanitesa sana siko huru.
jaribu kuangalia vitu hivi hasa maeneo unayotumia muda zaidi mfano chumbani,...aina ya mashuka au blanket unalojifunika, vumbi chumbani, ukubwa wa madirisha, net unayoitumia, kama ni kazini je kuna moshi wa vyombo kama pikipiki nk muda wote, pafyumu au manukato unayotumia...ukikosa jibu njoo pm
 
Wana JF habali za wakati huu natumaini nyote ni wazima wa afya, na wale ambao hamjisikii poa Mungu atawasaidia. Miim ni mzima wa afya japo sio sana, namshukuru Mungi hivyo hivyo.

Nimekuwa nikisumbuliwa na kikohozi cha miaka nenda rudi hakiponi. Nakohoa muda wote, mchana na usiku ila hasa usiku. Nakohoa sana hasa nikipata njaa kikohozi kinaambatana na makohozi mazito na muda wote napata maumivu ya tumbo na kikohozi mfululizo nihisipo njaa.

Nakohoa sana hasa ninapokula vyakula vyenye protini na fati kama vile;
  • Nyama
  • Samaki
  • Kalanga
  • Maharagwe
  • Dagaa, nk

Na vyakula vinavyopikiwa mafuta mengi kama vile;

  • Chapati
  • Mandazi, nk

Kiufupi vyakula vyote vyenye mafuta ndani yake vinanipa tabu, nimefikia wakati nimeacha kabisa kuvitumia lakini nimekonda sana hata kama nikitumia hivyo vyakula, so kwamba afya inakua njema, hapana nabaki nimekonda vile vile.

Nishapima;
  • X-ray zaid ya mala 4 lakini negative
  • Makohozi yakuotesha negative
  • HIV - negative
  • Limonea - negative pamoja na magonjwa mengine

Nilishawahi kunywa dawa nyingi sana za kisasa na za kienyeji lakini sijafanikiwa kupata kupona, nishakunywa tangawizi sana lakini bado, nishakula sana matunda, mbogamboga za kutosha nikidhani labda nitapata unafuu lakini 0, nishakunywa sana asali tena ile mbichi kabisa asubuhi, mchana na jioni kabla ya kula lakini 0, nakunywa maji mengi sana lakini 0!

Sijawah kuvuta sigara, sijawah kutumia kilevi cha aina yoyote toka nizaliwe. Yaan jamani sijui nisemeje tu. vitu vingi sana nishavifanya ili kuepukana na kikohozi hiki sugu lakini sijafanikiwa.

Jaman naomben ushauri, kikohozi gani hiki kisichosikia dawa? Kinanitesa sana siko huru.


Chuma papai bichi kabisa, lioshe kisha katakata bila kuchuna, weka kwenye chombo kisafi na weka maji ya kama lita moja na nusu au mbili kutegemea na ukubwa wa papai, weka mahali pasafi kwa muda wa saa 24 kisha anza kunywa hayo maji glass moja mara tatu kwa siku.

Papai moja linaweza kutoa glass tisa kwa maana hayo maji uyatumie kwa siku tatu kisha ile siku ya tatu andaa papai lingine na pitia utaratibu wa awali na hakikisha unatumia kwa wiki moja nipe mrejesho .


Kumbuka wakati unaandaa papai hakikisha unatoboatoboa sana ili yale maziwa yake yajichanganye na maji kwa kuwa sumu iliyoko kwenye hayo maziwa ndio tiba yako.

Get well soon.
 
1. Chunguza kwanza ikiwa una shida katika kilimi chako endapo kitakuwa kimerefuka kiasi cha kulala au kukaribia kugusa ulimi unapokuwa umeachama kinywa chako na kuchomoa ulimi nje ili kubaini fanya hivi ukijitizama kwenye kioo.

Tiba: endapo utabaini kuwa ndiyo chanzo cha kikohozi chako sugu basi wahi tiba, kikakatwe kienyeji kabla hujachelewa hospitalini hakuna tiba ya hii kitu utaishia kuambiwa inflammation na kupewa madawa ambayo hayatokusaidia.

2. Tatizo sugu la asidi tumboni: umegusia masuala ya ulaji ila ujataja dalili unazopitia kabla ya kuanza kukohoa baada ya kula vyakula hivyo; iwapo kila baada ya kula vyakula ulivyotaja unapitia kama hali fulani hivi ya kuhisi kuungua kifuani (kiungulia) au kutema mate yenye uchachu mkali wa asidi na baada ya hapo ni kukohoa mfululizo basi wewe ni mhanga wa tatizo hili.

Tiba: Tembelea maduka tiba tafuta bidhaa moja iitwayo Kefri (ni maziwa yaliyochachiswa na kutiwa kefri seed)- kitu hiki utibu matatizo yote yanayohusisha afya ya guts zetu hope itakusaidia.

3. Mzio; yawezekana una aleji na baadhi ya vyakula ambayo pengine imeletelezwa na matatizo ya kubadilika kwa tabia za kijenetiki katika seli za mwili ila inakuwa ni vigumu kugunduliwa mapema katika vipimo katika hili tiba yaweza kuwa ni kukubali kubadili mfumo wako wa kimaisha ikiwemo kuanza kufanya mazoezi (kusaidia mfumo wako wa damu, umeng'enyaji, utoaji taka mwili na upumuaji kufanya kazi zake ipasavyo) na kuepuka kula vyakula vinavyokuletea shida wakati ukifuata tiba za kitaalamu.

4. Chemba ya Moyo; endapo itakuwa imeshuka na haiinuki inavyotakiwa (imebana) basi tegemea tatizo kama hilo mara nyingi hili pia ni vigumu kubainika hospitali kikubwa watafute wataalamu wenye karama zao wakuchunguze na wakupe tiba.
 
Wana JF habali za wakati huu natumaini nyote ni wazima wa afya, na wale ambao hamjisikii poa Mungu atawasaidia. Miim ni mzima wa afya japo sio sana, namshukuru Mungi hivyo hivyo.

Nimekuwa nikisumbuliwa na kikohozi cha miaka nenda rudi hakiponi. Nakohoa muda wote, mchana na usiku ila hasa usiku. Nakohoa sana hasa nikipata njaa kikohozi kinaambatana na makohozi mazito na muda wote napata maumivu ya tumbo na kikohozi mfululizo nihisipo njaa.

Nakohoa sana hasa ninapokula vyakula vyenye protini na fati kama vile;
  • Nyama
  • Samaki
  • Kalanga
  • Maharagwe
  • Dagaa, nk

Na vyakula vinavyopikiwa mafuta mengi kama vile;

  • Chapati
  • Mandazi, nk

Kiufupi vyakula vyote vyenye mafuta ndani yake vinanipa tabu, nimefikia wakati nimeacha kabisa kuvitumia lakini nimekonda sana hata kama nikitumia hivyo vyakula, so kwamba afya inakua njema, hapana nabaki nimekonda vile vile.

Nishapima;
  • X-ray zaid ya mala 4 lakini negative
  • Makohozi yakuotesha negative
  • HIV - negative
  • Limonea - negative pamoja na magonjwa mengine

Nilishawahi kunywa dawa nyingi sana za kisasa na za kienyeji lakini sijafanikiwa kupata kupona, nishakunywa tangawizi sana lakini bado, nishakula sana matunda, mbogamboga za kutosha nikidhani labda nitapata unafuu lakini 0, nishakunywa sana asali tena ile mbichi kabisa asubuhi, mchana na jioni kabla ya kula lakini 0, nakunywa maji mengi sana lakini 0!

Sijawah kuvuta sigara, sijawah kutumia kilevi cha aina yoyote toka nizaliwe. Yaan jamani sijui nisemeje tu. vitu vingi sana nishavifanya ili kuepukana na kikohozi hiki sugu lakini sijafanikiwa.

Jaman naomben ushauri, kikohozi gani hiki kisichosikia dawa? Kinanitesa sana siko huru.
Pole sana. Umeanza kuugua tangu lini?
Umetibiwa hospital gani?
Ulifanya Xray ya sehemu gani kwenye mwili?
 
1. Chunguza kwanza ikiwa una shida katika kilimi chako endapo kitakuwa kimerefuka kiasi cha kulala au kukaribia kugusa ulimi unapokuwa umeachama kinywa chako na kuchomoa ulimi nje ili kubaini fanya hivi ukijitizama kwenye kioo.

Tiba: endapo utabaini kuwa ndiyo chanzo cha kikohozi chako sugu basi wahi tiba, kikakatwe kienyeji kabla hujachelewa hospitalini hakuna tiba ya hii kitu utaishia kuambiwa inflammation na kupewa madawa ambayo hayatokusaidia.

2. Tatizo sugu la asidi tumboni: umegusia masuala ya ulaji ila ujataja dalili unazopitia kabla ya kuanza kukohoa baada ya kula vyakula hivyo; iwapo kila baada ya kula vyakula ulivyotaja unapitia kama hali fulani hivi ya kuhisi kuungua kifuani (kiungulia) au kutema mate yenye uchachu mkali wa asidi na baada ya hapo ni kukohoa mfululizo basi wewe ni mhanga wa tatizo hili.

Tiba: Tembelea maduka tiba tafuta bidhaa moja iitwayo Kefri (ni maziwa yaliyochachiswa na kutiwa kefri seed)- kitu hiki utibu matatizo yote yanayohusisha afya ya guts zetu hope itakusaidia.

3. Mzio; yawezekana una aleji na baadhi ya vyakula ambayo pengine imeletelezwa na matatizo ya kubadilika kwa tabia za kijenetiki katika seli za mwili ila inakuwa ni vigumu kugunduliwa mapema katika vipimo katika hili tiba yaweza kuwa ni kukubali kubadili mfumo wako wa kimaisha ikiwemo kuanza kufanya mazoezi (kusaidia mfumo wako wa damu, umeng'enyaji, utoaji taka mwili na upumuaji kufanya kazi zake ipasavyo) na kuepuka kula vyakula vinavyokuletea shida wakati ukifuata tiba za kitaalamu.

4. Chemba ya Moyo; endapo itakuwa imeshuka na haiinuki inavyotakiwa (imebana) basi tegemea tatizo kama hilo mara nyingi hili pia ni vigumu kubainika hospitali kikubwa watafute wataalamu wenye karama zao wakuchunguze na wakupe tiba.
Usichukuwe ushauri namba 1, 2 na 4 wa huyu member. Nakushauri uende hospital nzuri uonane na dr bingwa ufanye diagnosis zaidi. Usinywe madawa bila kujuwa tatizo linasababishwa na nini. Umeshafanya scan ya kipimo kama MRA?
 
Atafute wataalam wa afya waliobobea zaidi
Huyu jamaa tatizo lake laweza kuwa dogo.
Awaone specialists wa ENT
kupima sio hoja je umepima nini na umepimwa na nani?

Nchi hii ina watu wa ajabu sana, huwa wanajua daktari yeyote anaweza kutibu kila kitu.

Kama ataitikia hili naweza kumwelekeza kwa specialist aliyesaidia mtu kama yeye.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom