"Kwa taarifa za mpaka mwaka huu kuhusu utajiri wa Mugabe zinasema ana utajiri wa kiasi cha Dola za kimarekani milioni 10 ambazo zipo benki moja ya nje."
Million 10 tu wakati ameshikilia Zimbabwe for 36yrs?...Mh!
Labuda.
Mbona hiki ni kiwango kidogo sana cha pesa kwa mtu mwenye haiba kama yake! Tanzania kuna mawaziri wana kiwango kikubwa cha pesa kuliko hicho.